Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Ati utakuwa kwa dar ahh basi x-mass itaenda vizuri wachaaa, ila siwezagi kupika chakula cha wengi, sasa mje hakuna namna mpike wakina mamaafacebook, sakayo, gbefa, supermarket, mzee wa T 199O ElY, black womani, zamaulid,rahabu x mass hiyooooo
Hiyo ya kuja kujipikilisha sie wageni sio mpango kabisa yani, fanya utaratibu wa kupata wapishi
 
Hiyo ya kuja kujipikilisha sie wageni sio mpango kabisa yani, fanya utaratibu wa kupata wapishi
Wapishi ni sisi banah sakayo, wewe sakayo ukikamata bakuri la kachumbari ukikatakata mbona mpango sana hahahahah, uchumi huu nianze kuleta wapishi wakati black womani yupo, atug, mamaafacebook, Ukhuty ahhhh banah
 
Back
Top Bottom