Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Zika ni nn
Nini zaidi ya maelezo haya mafupi.
Homa ya Zika ni ugonjwa unaosababishwa na kirusi kijulikanacho kama “Zika Virus.” Na Ugonjwa huu unaenezwa na mbu aina ya Aedes ambaye huwa ana tabia ya kuuma asubuhi na pia nyakati za mchana/jioni. Aina hii ya kirusi ipo katika familia ya (Flavirus) ambapo pia vipo virusi vya ugonjwa wa dengue, Homa ya Manjano (Yellow Fever).

Mbu huyu anazaliana katika maji yaliyotuama hasa kwenye vyombo vya nyumbani, makinga maji ya paa za nyumba, matairi ya gari, ndoo, makopo nk
5d69eb37d90dddc67b6ecdad3dedaac7.jpg
 
Back
Top Bottom