Aishah2016
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,225
- 2,482
Zambi ni kuua kwa kukusudiaKuua ni zambi
Zambi ni kuua kwa kukusudiaKuua ni zambi
Nguvu ya Mungu ni kubwa, sababu baada ya kumpoteza umpendae anakuletea mwingine karibu yako kuwa ni farajaMlofiwa poleni mungu awatie nguvu
Usafi ni muhimu hasa ktk matendo yetuKaburini tuwe na kawaida ya kuenda kuwaombea ndugu na jamaa, na hata kuweka kaburi lake katika hali ya usafi
mwenzio najiskia baridi...Mkuu acha tu msib usikie kwa mwenzio
Huzuni yaweza kuuwa
Matendo yetu yaendane na dini na ubinadamuUsafi ni muhimu hasa ktk matendo yetu
Mzazi unapopoteza vitu vingi sana utavikosa kwake, ukimpoteza mama huwezi kupata upendo wa mama kwa mtu yoyote dunia hii, na ukimpoteza baba basi jukumu lote linamuangukia mama maskini analea watoto kwa tabu sana mpaka wanapokuwa wakubwaHuzuni kuua ninjenje siunakumbuka dogo wa moshi aliye jinyonga mwezi huu baada ya kuondokwewa na mama yake mzazi
Usafi ni muhimu kwetu soteKaburini tuwe na kawaida ya kuenda kuwaombea ndugu na jamaa, na hata kuweka kaburi lake katika hali ya usafi
Wakubwa mpk t umekuwa maskin tumekuwa Kwa tabu kweliMzazi unapopoteza vitu vingi sana utavikosa kwake, ukimpoteza mama huwezi kupata upendo wa mama kwa mtu yoyote dunia hii, na ukimpoteza baba basi jukumu lote linamuangukia mama maskini analea watoto kwa tabu sana mpaka wanapokuwa wakubwa
Kazi yenyewe ni kumtakia mabaya rafiki yako afeli mtihani, apate mimba, afukuzwe kazi. Wakati hujui maski ya Mungu ameishi maisha yote mpaka kufika hapo alipo kama ya yatimaKweli ubinadam unakazi kuliko kazi yenyewe
Kazi yenyewe ni kumtakia mabaya rafiki yako afeli mtihani, apate mimba, afukuzwe kazi. Wakati hujui maski ya Mungu ameishi maisha yote mpaka kufika hapo alipo kama ya yatima
Faraja ni muhimu sana hasa kwa mtu aliyepata matatizoNguvu ya Mungu ni kubwa, sababu baada ya kumpoteza umpendae anakuletea mwingine karibu yako kuwa ni faraja
MUNGU wetu aliye mkubwa naye ndio tegemezi letuYatima Wana baraka mbele za mungu
Matatizo yana mwisho, kila mtu baada ya muda atapata utulivu baada ya kupitia changamotoFaraja ni muhimu sana hasa kwa mtu aliyepata matatizo