ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,885
- 42,002
Kuachwa ni shughul pevuAfya yake imedhoofika sababu ya mawazo ya kuachwa
Kuachwa ni shughul pevuAfya yake imedhoofika sababu ya mawazo ya kuachwa
Dili mjini ni kujenga tuMawe siku hizi yamekuwa dili
Mweupe unakuwa Kama rayMaji mengi ukinywa unakuwa mweupe
Shughuli pevu sana kumbembeleza mpaka akubali wakati zamani ulimkimbiaKuachwa ni shughul pevu
Chozi langu nilikitoa hkika siku hiyoUle ukuhusuyo unauma na ule wa mtu wa mbali unaona kawaida na hata huwezi kutoa chozi
Kuachwa kunauma jamniAcha tu kwakua haujawahi kuachwa
Msiba usikiye kwa mwenzio tu siku niliopofiwa na baba angu kipenzi ndio nilielewa nini maan ya msiba![]()
![]()
![]()
![]()



....mimwenyewe nilifiwa na mzee wangu lakini nilipo achwa nililia marambili ya msibaSiku hiyo kichwani itaendelea kubaki historiaChozi langu nilikitoa hkika siku hiyo
Msiba jamani unauma tuache utani....mimwenyewe nilifiwa na mzee wangu lakini nilipo achwa nililia marambili ya msiba
Historia ya kuondokewa na mpendwa baba angu hakika sitaisahuSiku hiyo kichwani itaendelea kubaki historia
Kuachwa kunapoa ila maumivu ya msiba hayapoi nduguKuachwa kunauma jamni
Msiba jamani unauma tuache utani
Utani tena kwenye msibaMsiba jamani unauma tuache utani
Utani uliezoea kutaniana na rafiki yako ukikumbuka unazidi kuumia, tumshukuru Mungu ametupa uwezo wa kusahau sababu kama ingekuwa mauvu tunayoyapata ni kama siku ile ya msiba tusingekuwa hapaMsiba jamani unauma tuache utani
Kuucha utani siupendi utani kweye msiba mimiUtani wa wazaramo na wasukuma ningum kuuacha
Msiba hauna utaniUtani tena kwenye msiba
Mm ni naniKuucha utani siupendi utani kweye msiba mimi
Hapa Leo tukumbuke wapendwa wetu walotangulia mbel za hakiUtani uliezoea kutaniana na rafiki yako ukikumbuka unazidi kuumia, tumshukuru Mungu ametupa uwezo wa kusahau sababu kama ingekuwa mauvu tunayoyapata ni kama siku ile ya msiba tusingekuwa hapa
Kuucha utani siupendi utani kweye msiba mimi
Mimi nakuelezea anaposema tuache utani tafsiri yake ni maana ya yupo seriousKuucha utani siupendi utani kweye msiba mimi