supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,968
Nimekuwa mkubwa hata wazazi wamenipa uhuru wa kufanya maamuziSasa hivi nimekuwa
Nimekuwa mkubwa hata wazazi wamenipa uhuru wa kufanya maamuziSasa hivi nimekuwa
Simba tena mkuu, au umechanganya mafoldaKimbia mbio nyingi mpaka watu wakushangae kama una mapafu ya simba
Sahihi kufanya masahihisho baada ya kukosea, kama ufutio unavyofuta wino wa penseliKikamilifu ndio njia sahihi
Maamuzi gani hayo tenaNimekuwa mkubwa hata wazazi wamenipa uhuru wa kufanya maamuzi
Mafolda yanaonyesha mbavu za simba zimeungana moja kwa moja ndio maana ana nguvu na mbio sio kama mbavu za binadamu..ukiskia mtu anasema una mbavu za mbwa maana yake huchokiSimba tena mkuu, au umechanganya mafolda
Penseli hutumika kuchoreaSahihi kufanya masahihisho baada ya kukosea, kama ufutio unavyofuta wino wa penseli
Huchoki kwani unatumia petroli au damuMafolda yanaonyesha mbavu za simba zimeungana moja kwa moja ndio maana ana nguvu na mbio sio kama mbavu za binadamu..ukiskia mtu anasema una mbavu za mbwa maana yake huchoki
Damu pia inaingia kwenye ile 75% ya mwili wa binadamu ni majiHuchoki kwani unatumia petroli au damu
Tena wamesema wapo tayari kukuita kwenye vikao vya familiaMaamuzi gani hayo tena
Familia yangu leo hamlali au ckuku bado inaendeleaTena wamesema wapo tayari kukuita kwenye vikao vya familia
Maji ukiyavulia nguo shart uyaogeDamu pia inaingia kwenye ile 75% ya mwili wa binadamu ni maji
Inaendelea leo sababu kesho ni weekendFamilia yangu leo hamlali au ckuku bado inaendelea
Uyaoge maji kisimani au mtoni huoni aibu watu watakachungulia kukupiga chaboMaji ukiyavulia nguo shart uyaoge
Inaanza taratibu badae inakoleaWeekend ndo inanza
Chabo sio nzuri siku ukifumwaUyaoge maji kisimani au mtoni huoni aibu watu watakachungulia kukupiga chabo
Inaanza ikiwa tulivu huku wengine wapo chali miguu juuWeekend ndo inanza
Ukifumwa unamwagiwa maji ya motoChabo sio nzuri siku ukifumwa