Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Mimi ndo nitakuwa wa mwishoMshindi mimi
Mimi ndo nitakuwa wa mwishoMshindi mimi
Kutoa ulinzi na maneno mazuri yenye farajaMsaada gani unaweza kutoa
Mafua tu Kunywaa mafuta ya taa yataishaSufi huwa inanipa mafua

Sufi ni nyuzi gani tenaUzi wa manyila au sufi
Sufi nzuri kwa kutengeneza godoro na mtoUzi wa manyila au sufi
Faraja huhitajika zaidi wakati wa huzuniKutoa ulinzi na maneno mazuri yenye faraja
Yataisha kama utafukiza na maji ya moto yenye tangawizi na limaoMafua tu Kunywaa mafuta ya taa yataisha![]()
Tena sufi zinafanana na pamba mti wa kwake ni mkubwa mfano wa mwembe, zile nyuzi(sufi) zinajazwa kwenye mto wa kulalia, godoro au kochi..unawaona kwenye muvi/nyimbo za video wapenzi wakipigana mito kitandani zinaruka mto ukichanikaSufi ni nyuzi gani tena
Mto una maji mengiSufi nzuri kwa kutengeneza godoro na mto
Huzuni ikitawala hata kula unashindwa, pigamoyo konde, amka na endelea na safariFaraja huhitajika zaidi wakati wa huzuni
Kweli?? Nani tena mchokoziTena umeniudhi kweli kweli
Safari ya maisha ni ndefu, ila naamini kwa msaada wa Mungu nitafika salamaHuzuni ikitawala hata kula unashindwa, pigamoyo konde, amka na endelea na safari
Hapo yuko wapi, mseme nimchapeMchokozi si huyo mtu hapo
Hapo ulipo unaenda wapMchokozi si huyo mtu hapo
Wapi ulipo weweHapo ulipo unaenda wap
Safari yangu ilishaanza kitamboHuzuni ikitawala hata kula unashindwa, pigamoyo konde, amka na endelea na safari
Ww umependeza sanaWapi ulipo wewe
Kitambo sana tunategemea mafanikio makubwa japo changamoto za hapa na pale zipoSafari yangu ilishaanza kitambo