supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,968
Umepoa zako nyumbani kumbe mtoto wako anafundishwa uhuniAnafurahi maana siku hizi Upendo wa wengi umepoa
Umepoa zako nyumbani kumbe mtoto wako anafundishwa uhuniAnafurahi maana siku hizi Upendo wa wengi umepoa
Uhuni umejaa uswaziUmepoa zako nyumbani kumbe mtoto wako anafundishwa uhuni
Uswazi ni kipindi cha EATV mtangazaji ni zembwelaUhuni umejaa uswazi
Kwetu pazuriUswazi ni kipindi cha EATV mtangazaji ni zembwela
Pazuri nimepapenda nitakuja kukupa hai siku mojaKwetu pazuri
Siku moja ntafurahi kukuonaPazuri nimepapenda nitakuja kukupa hai siku moja
Kukuona umepanda ngamia itanistaajabisha .....Siku moja ntafurahi kukuona
Kukuona mimi pia nitafurahi, nimefurahi pia kuwaona Hamisa mobeto, martin kadinda, sheria ngowi, nedy music, jux, zari na diamond kwenye kugombania tunzo naimani Tanzania tutashinda tukipiga kuraSiku moja ntafurahi kukuona
Itanistaajabisha ngamia kupita kwenye tundu la sindanoKukuona umepanda ngamia itanistaajabisha .....
Sindano ya kutibia Ng'ombe ndiyo hutumiwa kwa mwenye magonjwa ya kichocho....Itanistaajabisha ngamia kupita kwenye tundu la sindano
Kichocho kinatokana na niniSindano ya kutibia Ng'ombe ndiyo hutumiwa kwa mwenye magonjwa ya kichocho....
Nini unatarajia baada ya kujua kinachosababisha kichocho?Kichocho kinatokana na nini
Kichocho kinakuwepo katika maji machafu na kwenye kando kando ya mito na mzaziwa wanapo fua nguo na kucha viyomba na kujisaidi.......Nini unatarajia baada ya kujua kinachosababisha kichocho?
Kujisaidia kuna maana nyingiKichocho kinakuwepo katika maji machafu na kwenye kando kando ya mito na mzaziwa wanapo fua nguo na kucha viyomba na kujisaidi.......
Saidi ameenda kulipia kodi yake ya dukaKichocho kinakuwepo katika maji machafu na kwenye kando kando ya mito na mzaziwa wanapo fua nguo na kucha viyomba na kujisaidi.......
Saidi ameenda kulipia kodi yake ya duka
Kichocho bado tu mwakiongelea mpaka sasa?Duka la dawa ya kichocho?

Sasa hivi gari za mwendokasi huduma ni rahisi na haraka kama bodabodaKichocho bado tu mwakiongelea mpaka sasa?![]()
Bodaboda ni neno ambalo halikuwepo kabla ya miaka kadhaaSasa hivi gari za mwendokasi huduma ni rahisi na haraka kama bodaboda