Mimi mmeniudhi kitu kimoja nimepoteza laini yangu kuirudisha naambiwa namba tano nilizokuwa nazipigia Mara kwa Mara sasa Mimi nazipata wapi wakati nimepoteza simu kitambulisho ninacho lakini mmeshindwa kunirudishia nimeamua kuachana na voda kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app