squirtinator
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 2,765
- 4,174
Ina maama haujaenda vodashop walusaidie? Kama upo dar nenda mlimani.
Hii ishu yako anayetakiwa kuishuhurikia ni M LIPA na si Vodacom tafuta namba yao ili ufanye nao mawasiliano...!!PLEASE! VODACOM, NAOMBA HII PESA NILITAKA KUTUMA M-LIPA , KWA BAHATI MBAYA NILIKOKUWA NATUMA HAIKWENDA KWA SABABU MTANDAO MLINIAMBIA MTANDAO WENU UNASUMBUWA.
PESA NILITUMA TAREHE 12/09/2018 NOTIFICATION SMS NIKAPATA TAREHE 13/09/2018, NIMEONGEA NA MHUDUM KWA MTEJA LAKINI DAAA!
NIMEOMBE PESA ILUDISHWE KWENYE AKAUNTI YANGU TZS 150,000.00.
NIMEWEKA NA SMS YA MWAMALA ,MAANA WENGINE WANAJUWA TUKIPOSITI HIVI TUNA WAENJOY,
View attachment 876856
REAL MNABOWA.
NISAIDIE KUONGEA NA VODACOM MTANANZIA MWENZAGU.
Vifurushi vya internet vyenu nijanga la taifa elfu kumi 1GB kwa mwez......du ni hatari ngoja tuzamie mtaa wa piliNdugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
Nishawachoka mkuu hawa vodacom, line yangu ya kitambo ndo hiyohiyo kwa kazi sasa hawa jamaa wehu wa vodacom wanajiamulia tu kuharibu viwango vya bundle bila taarifa, mtandao umevamiwa na wehu wanaendesha huu mtandaoVifurushi vya internet vyenu nijanga la taifa elfu kumi 1GB kwa mwez......du ni hatari ngoja tuzamie mtaa wa pili
Shukuru Mungu hujapigwa na wajanja wa mjini.......endelea kungojea hiyo bonus.Vodacom bwana. Eti anatokea mtu anajitambulisha eti anatoka promosheni ya miaka 10 ya Voda. Eti wanagawa pato-bonus kwa wataeja. Naambiwa nimezawadiwa sh.laki tatu na sabini elfu (370,000/-). Nasubiri ziingie kwenye account yangu ya simu mpaka leo sijaiona. Vodacom hapo niwape jina gani........ Kama kweli hiyo bonus ipo basi fanyeni kweli.
Ni kusepa tuuu mdogomdogo akil itawakaa sawaNishawachoka mkuu hawa vodacom, line yangu ya kitambo ndo hiyohiyo kwa kazi sasa hawa jamaa wehu wa vodacom wanajiamulia tu kuharibu viwango vya bundle bila taarifa, mtandao umevamiwa na wehu wanaendesha huu mtandao
Huduma ya Dar Uni ukitaka kujua salio lako baada ya kujiunga na kifurushi hiki napiga *149*60# ila sipati ujumbe wowote kwani nakuwa sijui kama salio ni kiasi gani ili niweze kununua tena kifurushi, embu vodacom rekebisheni hilo tatizoTutalipwa lini gawio la share zetu?