Soma tena yeye amenunuliwa inamaana wakala anahusika hapo au mtu mwingine na sio yeye unadhani angekua kiazi kwa kiasi hicho?Kwa ulivyoweka namba yako ya simu. Bora uanze kutumia jina halisi tu. Maana kupitia M-Pesa, jina lako linafahamika.
nyumbani tunarudi ila tatizo hawapo tanzania yoteRudi nyumbani ttcl kumenoga.
Sio sana maana wanatoa madakika mengi mb kidogoAirtel wako vizuri
4g yao ni Hovyo kabisa! Bado sana hao jamaa hawajajua la kufanya! Wapo wapo tu na vipeperushi vyao! Tutarudi wakidamka!!Rudi nyumbani ttcl kumenoga.
Hajaweka namba yake bali kaweka namba ya aliyemnunulia salio ambaye anaweza akawa wakala.Kwa ulivyoweka namba yako ya simu. Bora uanze kutumia jina halisi tu. Maana kupitia M-Pesa, jina lako linafahamika.
Tigo tatizo data imewashida maeneo mengine ni kero. Yan ni 2gmi naona hawa tigo ndo mtandao pakee unaojitahidi kuhudumia vizuri wateja wake. karibu mkuu.
Wanachonishangaza mimi eti namba ya voda isiyotumika mara kwa mara ina ofa nzuri ya kwako kkuliko namba inayotumika mara kwa mara.
Acha kudandia train kwa mbele. Hujaelewa unakimbilia kureplyMimi kwangu kwa sasa ni vodaaa com kwa kwenda mbele halotel nimetupa kulee toka mwezi wa pili.
Japo vifurushi vinabadirika badirika ila wako vizuri.
Jamani unaambiwa kuwa ni promotion ujue kuwa kuna kipindi huduma itaisha siyo permanent sasa unalalamika kama siyo promotion vile