Nmekuelewa sana hata hicho ulichosema kimenitokea kifurushi cha 2000 cha sms wiki hupati insta.Acha kudandia train kwa mbele. Hujaelewa unakimbilia kureply
Com ndio nini jamani?Mimi Nikiwa kama mteja wenu wa muda mrefu naombeni msaada wenu usiku wa rarehe 19 mwenzi wa Tatu mwaka huu niliibiwa com yangu sina ya tecno j7 niliripoti polisi na rb ninayo nilikuwa naombeni msaada wenu je ili niweze kuipata com yangu nifuate taratibu zipi na gharama ni kiasi gani? Number za imei number ninazo
Tabia ya kuondoa au kubadilisha bundle hizi vodacom ndo zao.Kwa upande wangu wameniboa sehemu moja nene tu.
Nilikua na ofa inayoitwa "YA KWAKO TU" ambapo kwa takribani mwaka mzima nimekua nalipa 2000/- kupitia *149*03# napata GB 3 kwa siku tano ambazo zilikua mujarabu kabisa kwa matumizi yangu ya data. Kwa sasa wameondoa na kupandisha bei. Wameniboaje?
Jaribu kutumia halafu baadae wanakubadilishia.Wanachonishangaza mimi eti namba ya voda isiyotumika mara kwa mara ina ofa nzuri ya kwako kkuliko namba inayotumika mara kwa mara.