Mponda 02
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 522
- 489
Huwa nikiacha salio mara nyingi sh. 500 likae hadi asubuhi huwa haifiki kesho yake vodacom wanakata. Hata kama data nimezima na simu haitumiki salio linakatwa.
Nimechunguza mara nyingi vodacom wanakata salio hilo usiku sana ikishapita saa 6 usiku. Na siku zote wanakata kiasi kilekile sh. 99
Je vodacom hii pesa mnayokata ni ya nini? Huu sio wizi kweli?..
Nimechunguza mara nyingi vodacom wanakata salio hilo usiku sana ikishapita saa 6 usiku. Na siku zote wanakata kiasi kilekile sh. 99
Je vodacom hii pesa mnayokata ni ya nini? Huu sio wizi kweli?..