Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Sasa hats kama ni uchaguzi Msitunyanyase kwani mmeanza kupunguza MB kutoka MB200 kwa Tsh500 sasa mnatoa MB180 je tuamie wapi???

NAWE USIWE KAMA MTOTO MPUMBA.FU, IVI NI LAZIMA UWE NA MTANDAO WA VODACOM KT SIMU YAKO?? KIUKWELI NAKUFANANISHA NA MNYWA GONGO KWANI HATA KAMA GONGO ILO LINAMUUMIZA KIASI GANI BADO HACHOKI KWENDA KWA MUUZA GONGO NA KUINYWA TENA, Tia ADABU WEWE!!!!
 
NAWE USIWE KAMA MTOTO MPUMBA.FU, IVI NI LAZIMA UWE NA MTANDAO WA VODACOM KT SIMU YAKO?? KIUKWELI NAKUFANANISHA NA MNYWA GONGO KWANI HATA KAMA GONGO ILO LINAMUUMIZA KIASI GANI BADO HACHOKI KWENDA KWA MUUZA GONGO NA KUINYWA TENA, Tia ADABU WEWE!!!!

umeacha gongo sikuizi mkuu?
 
Vodacom Tanzania Hali ni mbaya toka jana Internet inazingua sana.Fanyeni utaratibu watu wengine bila internet office hazizalishi kula.Hapa tu kuwatumia ujumbe huu kupitia JF nimefanya kolabo na mahasimu wenu Tigo,Na siwafagilii.
 
Last edited by a moderator:
1.Kifurushi cha internet Mb 200 cha tsh 500 sasa ni Mb 180 je mabadiliko haya yana gusa kifurushi cha bila kikomo siku cha 1000?
2. Kiuhalisia kuna kiwango cha mbs katika bila kikomo ya siku ya 1000 ila hamsemi. Je ni mb ngapi zimo humo kama ilikuwa ni gb1 kwa mabadiliko ya kifurushi cha internet ya 500 na huku kwenye bila kikomo siku 1000 hali ya mabadiliko ikoje?
 
1.Kifurushi cha internet Mb 200 cha tsh 500 sasa ni Mb 180 je mabadiliko haya yana gusa kifurushi cha bila kikomo siku cha 1000?
2. Kiuhalisia kuna kiwango cha mbs katika bila kikomo ya siku ya 1000 ila hamsemi. Je ni mb ngapi zimo humo kama ilikuwa ni gb1 kwa mabadiliko ya kifurushi cha internet ya 500 na huku kwenye bila kikomo siku 1000 hali ya mabadiliko ikoje?

Ni mb700
 
Kuna wizi mkubwa kwa fedha za salio za wateja unaoendelea sasa hivi katika mtandao wa Vodacom.
Kwa vile hili si jungu bali ukweli nimisha report wizi huo katika kitengo cha malalamiko TCRA kwa hatua zaidi.

Nimeweka salio la Tsha 10,000 mchana wa leo kwa Mpesa ref Y23SY687 na baada ya muda mfupi nikakuta salio langu la maongezi ni sifuri.

Nikanunua vocha na kutumiwa tshs 10,000 na hela yote imekatwa tena.

Wateja wa Vodacom jihadharini, kuna mwizi kaingia mtandaoni Vodacom

UPDATE
=====
VODACOM wamefanya ustaarabu wa kunipigia baada ya kuona detail ya transaction hapo juu, na kuiona kwenye mtandao wa Jamiiforums.
Kimsingi wameapologise kwa mtafaruku uliotokea lakini wamenieleza nifike ofisini kwao kuona aian ya simu ninyotumia isije ikawa data apps ziko wazi.
Na kweli baada ya maongezi ya kuchunguza, mobile data setting ilikuwa ON, na mimeizima sasa.

Hata hivyo ni vema nitaenda kupata maelezo ya kuyeyuka kwa salio langu , karibu 20,000, kwa siku moja.
Wanabodi mtajulishwa inawezekana kuna wenye tatizo kama langu.

UPDATE
=====
Nimeonana na waheshimiwa sana wa Customer Care pale Block 4 Mlimani City.
Cha kusikitisha ni wao kushindwa kuchukua malalamiko yangu na kuyafanyia kazi, na hii ni licha ya kuwaelewesha kuwa hili tukio nalijawahi kunitokea na hii kuwa ni mara ya kwanza.

Hawa jamaa wa Customer Care ni kama mabalozi waliopewa jukumu la kusafisha kampuni ya VODACOM hata kama inanuka kwa wizi uliodhahiri.
Kitu ambacho hawajui ni kuwa nilifanya due diligence kupitia wafanyakazi ndani ya VODACOM walionidhihirishia kuwa kuna wafanyakazi wasio waaminifu ambao wana access na personal security settings za wateja.

Na wafanyakazi hao huwa "wapiga kishenzi" fedha za wateja.

Kwa kifupi mtu wa Customer Care ameshindwa kuniconvince na maelezo yake ya upotevu wa Tshs 20,000 katika mtandao wa VODACOM.
Nilikuwa nasikia tu kwa wengine leo nimehakikisha kuwa hawa Voda kweli ni wezi. mimi ni mteja ninayetumia mtandao wa voda namba 0762749205,jana usiku saa nne nilinunua solio la sh.1000 kupitia m-pesa na kupata sms "BR04DY593 Imethibitishwa umenunua Tsh1,000 ya muda wa maongezi saa 10:02 PM Tarehe 11/7/15 Salio lako jipya la akaunti ya M-PESA ni Tsh19,670" kuonyesha kwamba nimepata salio hilo la sh 1000,na nikapata sms nyingine kutoka voda "Umepokea Tsh 1000.00. Salio lako jipya ni Tsh 1000.00. Kumb. 444323401339996668. Time: 7/11/2015 10:00:36 PM" hivyo nikajiunga na kifurushi cha siku internet bila kikomo na kupata ujumbe kua ombi langu linashughulikiwa lakini sikupata sms yoyote kunijulisha kuwa nimeunganshwa kwenye kifurushi hicho. nipoangalia salio la maongezi nikakuta zero ,ilipofika saa tano yaani saa moja baadae ndipo nikapata sms "Salio lako halitoshi kununua kifurushi cha Data.Tafadhali ongeza salio lako na kisha jaribu tena au nunua kifurushi kidogo cha data. Time: 7/11/2015 11:02:46 PM" siku yapili yake jumapili saa 1.30PM nikampigia mhudumu wa wateja na kunijibu kwa kwa maneno rahisi tu kuwa internet ni ghali sana na salio langu limeshatumika ingawa nilimuleza kuwa nilikuwa off-line imekuwaje salio litumike.lakini aling'ang'ania maeleo yake ya awali.
Nichogundua kuwa hawa VODA ni WEzI na wahudumu wao kwa wateja wana uelewa mdogo wa mambo ya internet
ingawa nitatoa taarifa kwa Tume ya mawasiliano lakini pia nawashauri wadau mhame mtandao huu kwa kuwa si salama tena
 
Nilikuwa nasikia tu kwa wengine leo nimehakikisha kuwa hawa Voda kweli ni wezi. mimi ni mteja ninayetumia mtandao wa voda namba 0762749205,jana usiku saa nne nilinunua solio la sh.1000 kupitia m-pesa na kupata sms "BR04DY593 Imethibitishwa umenunua Tsh1,000 ya muda wa maongezi saa 10:02 PM Tarehe 11/7/15 Salio lako jipya la akaunti ya M-PESA ni Tsh19,670" kuonyesha kwamba nimepata salio hilo la sh 1000,na nikapata sms nyingine kutoka voda "Umepokea Tsh 1000.00. Salio lako jipya ni Tsh 1000.00. Kumb. 444323401339996668. Time: 7/11/2015 10:00:36 PM" hivyo nikajiunga na kifurushi cha siku internet bila kikomo na kupata ujumbe kua ombi langu linashughulikiwa lakini sikupata sms yoyote kunijulisha kuwa nimeunganshwa kwenye kifurushi hicho. nipoangalia salio la maongezi nikakuta zero ,ilipofika saa tano yaani saa moja baadae ndipo nikapata sms "Salio lako halitoshi kununua kifurushi cha Data.Tafadhali ongeza salio lako na kisha jaribu tena au nunua kifurushi kidogo cha data. Time: 7/11/2015 11:02:46 PM" siku yapili yake jumapili saa 1.30PM nikampigia mhudumu wa wateja na kunijibu kwa kwa maneno rahisi tu kuwa internet ni ghali sana na salio langu limeshatumika ingawa nilimuleza kuwa nilikuwa off-line imekuwaje salio litumike.lakini aling'ang'ania maeleo yake ya awali.
Nichogundua kuwa hawa VODA ni WEzI na wahudumu wao kwa wateja wana uelewa mdogo wa mambo ya internet
ingawa nitatoa taarifa kwa Tume ya mawasiliano lakini pia nawashauri wadau mhame mtandao huu kwa kuwa si salama tena

21/7/2015
hawa voda kweli wezi ili kudhibitisha wizi wao wameifungia account yangu ya M-pesa baada ya kutoa malalamiko haya mtandaoni!!!.
 
Laini yangu 0767979769 imepotea na simu,katika kuirudisha nasumbuliwa kwa kuwa sikumbuki namba niliokuwa nawasiliana nazo na line hiyo,sana naitumia kwa internate nifanye nipo dar-0715219899
 
MKUU hilo tatizo na mimi nimekumbana nalo, nimepoteza simu namba yangu iliyopotea ni 0756633206 lakini sikumbuki hizo namba 5 na wamenambia bila hz no haitawezekana. naombeni msaada kwa hili. 0687222820
 
Vodacom hii internet banking kuna wizi kwa wateja..
Haiwezekani nitume pesa kutoka mpesa kwenda NMB halafu huduma ikamilike na hela ya tozo ikatwe then pesa husika iliyotumwa irudi yaani transaction imegoma likini lile tozo lake halirudi huu wizi wa wazi kwani ukituma mara mbili na inarudi then tozo linakatwa tena mfano..
1,000,000 mnakata 10,000..pesa ikirudi ukatuma tena kwenda same nmb a/c mnakata tena 10,000 huu ni wizi ulio wazi....
 
Vodacom Tanzania
Kwa kweli huduma ya mobile bank ni nzuri na rahisi.je ikiwa natoa pesa kwenye AC yangu ya bank na nikamtumia mtu ila kwa bahati mbaya nikakosea namba ya simu ya mpesa je nani anawajibika kurudisha hizo pesa kwenye Ac yangu?

Na je nani nimpigie simu wa kwanza kumtaarifu ili azuie pesa zisitolewe?
 
Last edited by a moderator:
Riba ya mkopo ni kubwa pili mnaonaje kifurushi cha siku mkipunguzie makali kama nikijiunga nitumie mpaka dk ziishe sio siku moja tu,kwann nasema hivyo kifurushi cha wiki si kwaajili ya wateja wa kawaida ni kwa wafanyabiashara na n.k sasa ni bei then hiki cha wengi yaan siku dk nying afu ni siku.mnatunyonya walala hoi
 
Nachukia sana kitendo cha kununua kifurushi cha internet halafu kikiisha eti siwezi nunua tena mpaka muda uishe. Mambo gani ya technologia ya kizamani
 
Leo tar 27/07/2015 wateja wa Vodacom Mwanza tunashndwa kuwasiliana maana ukimpigia mtu anapokea ila unasikia maneno baadhi,mengine yanakatika.Sasa,tofauti na kutuomba radhi kwa usumbufu huu,hamuoni shughuri zetu mmezikwamisha?
 
Nachukia sana kitendo cha kununua kifurushi cha internet halafu kikiisha eti siwezi nunua tena mpaka muda uishe. Mambo gani ya technologia ya kizamani

Kampuni ya wezi usitarajie isiwakamue niliashawakimbia siku nyingi na familia yangu nimewahamisha toka hiyo kampuni
 
Back
Top Bottom