Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Ndugu mteja,

Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
Karibu

Vodacom Tanzania


Kukosea kutuma pesa na kwenda kwa mteja mwingine na mteja husika kuzitoa pesa husika.
Kweli kosa la mtumaji na kwa kiasi kama mtoa pesa akaunti yake ina pesa kwa uzoefu uliopo huwa msaidia kuzirudisha ila ugumu ni pale mhusika/mteja aliyepokea pesa isiyomhusu/ mtuhumiwa akaunti yake haina kitu hivyo kubaki kuvizia kama ataingiza pesa.

Eneo hili la kuvizia kama ataingiza pesa ndiyo na Shauri muwe na Automated Computer system inayotoa alert ya transaction ya mtuhumiwa badala ya mfumo wa Mteja aliyekosea kutuma pesa kujaribu mara kwa mara kupiga simu customer care kuulizia kama akaunti ya Mtuhumiwa inapesa au lah!.

 
Jaman hata huku kwetu musoma net ni shida pia upande wa internet ndo shida kabisa nimenunua sim yenye android sioni raha yake maana net ni shida kupata nataman nirudi kweny sim ya tochi
 
Vodacom kwa Kwel mmeshindwa kazi yaani hamna lolote isipokuwa wizi wa salio na Mb yaani nyie mnapotoa Mb 8mnafikiria nn Jamani Hataaa Haiwezekeni
 
custumer care wa voda mnaboa. matatizo ya wateja hayatatuliwi. mnabaki kutoa ahadi za kusubiri saa 24 bila mafanikio. mmezidi wizi. mbaya zaidi TCRA wako kimyaaa

Mimi nimepiga kelele hadi wamerudisha hela yangu.... Sitakubali tena kukatwa hela zangu kipuuzi na kunyamaza labda nisijue
 
mwenyewe ishanitokea nilipo wapigia customs care niliambiwa nisubili mpaka leo nasubili lakin sim card ya vodacom nimeamua kuweka kando
 
Vodacom ------- siku za weekend mnachezea mtandao makusudi ili mtu unapopiga simu unakuwa huelewani vizuri na unayewasiliana nae hvyo kukufanya kupiga Mara kwa Mara na nyie kupata fedha acheni mambo hayo bwana mbinu mnazotumia kuwaambia Wa Tz ni za kizamani sana Vodacom badilikeni.
 
Vodcome Leo natupa Rasmi line yenu haiwezani weekend mnauchezea mtandao watu tunashindwa kufanya mawasiliano muhimu Hakika Vodacom na pasua kichwa kwaherinj
 
Nimekuimbox mdau, nimetuma hela m pesa kwa mtu nwingine, taarifa zote nimetuma kwako. Angalia kama mwaweza kuirudisha au nipeleke cyber crime
 
mimi ni mtumiaji wa Vodacom kwa zaidi ya miaka kumi sasa,lakini majuzi tarehe 7/6/2015 vodacom wamekomba salio langu la Airtime Tsh.113,000/= kwa nusu saa kwa kisingizio cha internet eti kwa sababu nilikuwa sijajiunga na kifurushi chochote cha internet(hayo majibu ni kwa mujibu wa mtu wa customer-care aliyejitambulisha kuwa yupo mlimani city ambaye alikuwa ana-attend complain yangu iliyopewa no.REMEDY CSR 127848003).Salio lenyewe niliwekewa na my employer TZS 150,000 kwa utaratibu wa vodajaza ili kusaidia mawasiliano ya kufanikisha shughuli za mwajiri lakini vodacom wamelamba salio lote hivyo kupoteza hata maana ya initiative hiyo ya mwajiri hivyo najiandaa kujenga hoja kwa mwajiri kuachana na utaratibu huo kwani hausaidii shirika zaidi ya kulitia umasikini.kibaya zaidi,hata visibility haipo kwani customer care wa vodacom anakwambia umeliwa tsh.113,000 kwa nusu saa lakini hakuelezi ulitumia kwa kitu gani au ume-download nini(tofauti na voice calls ambapo hueleza umeongea na mtu wa namba fulani which you can confirm).Bado haingii akilini i.e.common sense na logic zinakataa kwa matumizi yapi ya internet yanaweza kula pesa yote kwa kipindi kifupi hivyo wakati shirika hilo hilo lina manage kutoa internet kwa TSh.25,000/= bila kikomo kwa mwezi,otherwise nielezwe kuwa sisi ndo tunagharamia hilo.
Kwa msingi wa maelezo hayo hapo juu,mtandao wa vodacom upo kuwatia umasikini wananchi wa Tanzania(you can imagine watu wangapi wameathirika) hivyo najiandaa kupeleka official complain TCRA ili wachunguze this unfair Pricing Model ya Vodacom ambayo ina-retard Tanzania National Development na vilevile media inabidi zifanye kazi ya kuwa-sensitize wananchi waelewe na kupinga upuuzi wa aina hii.
Nawasilisha
 
ndugu mteja,

una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- ni tatizo gani? (m-pesa, sms, calls, internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- maeneo gani? (tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.

Karibu

vodacom tanzania

hapa ushirombo, makao makuu ya wilaya ya bukombe mkoa wa geita, na kama sikosei hata miji mingine na maeneo yote ya bukombe huduma ya internet haisomi 3g wala h+ ni edge tu. Kwa watumiaji wa smartphone ni shida. Huwezi kudownload kitu, inakulazimu usubiri saa zima au mawili kupakua picha au video. Tunahitaji huduma ya 3g haraka sana. Watumiaji wa smartphone ni wengi mnoooo. Njooni mfanye survey muone namna ya kutusaidia.huduma ya data huku ni shidaaaa.
 
mimi ni mtumiaji wa Vodacom kwa zaidi ya miaka kumi sasa,lakini majuzi tarehe 7/6/2015 vodacom wamekomba salio langu la Airtime Tsh.113,000/= kwa nusu saa kwa kisingizio cha internet eti kwa sababu nilikuwa sijajiunga na kifurushi chochote cha internet(hayo majibu ni kwa mujibu wa mtu wa customer-care aliyejitambulisha kuwa yupo mlimani city ambaye alikuwa ana-attend complain yangu iliyopewa no.REMEDY CSR 127848003).Salio lenyewe niliwekewa na my employer TZS 150,000 kwa utaratibu wa vodajaza ili kusaidia mawasiliano ya kufanikisha shughuli za mwajiri lakini vodacom wamelamba salio lote hivyo kupoteza hata maana ya initiative hiyo ya mwajiri hivyo najiandaa kujenga hoja kwa mwajiri kuachana na utaratibu huo kwani hausaidii shirika zaidi ya kulitia umasikini.kibaya zaidi,hata visibility haipo kwani customer care wa vodacom anakwambia umeliwa tsh.113,000 kwa nusu saa lakini hakuelezi ulitumia kwa kitu gani au ume-download nini(tofauti na voice calls ambapo hueleza umeongea na mtu wa namba fulani which you can confirm).Bado haingii akilini i.e.common sense na logic zinakataa kwa matumizi yapi ya internet yanaweza kula pesa yote kwa kipindi kifupi hivyo wakati shirika hilo hilo lina manage kutoa internet kwa TSh.25,000/= bila kikomo kwa mwezi,otherwise nielezwe kuwa sisi ndo tunagharamia hilo.
Kwa msingi wa maelezo hayo hapo juu,mtandao wa vodacom upo kuwatia umasikini wananchi wa Tanzania(you can imagine watu wangapi wameathirika) hivyo najiandaa kupeleka official complain TCRA ili wachunguze this unfair Pricing Model ya Vodacom ambayo ina-retard Tanzania National Development na vilevile media inabidi zifanye kazi ya kuwa-sensitize wananchi waelewe na kupinga upuuzi wa aina hii.
Nawasilisha

Nahisi watakusikiliza na kukutatulia tatizo lako, hii humu Jamaa wako tentive na wanakupigia simu kuliko hata ukienda ofisini kwao au ukipiga simu customer care kwa sisi tulioko mikoani.

Pole
 
Mimi nakaa mwanza mjini, eneo ninalopenda ni jukwaa la siasa, sasa wakati mwingine ninapojibu hoja za watu wengine ninaambiwa sina ruhusa kufanya kitendo kile, ila wakati mwingine inanikubalia, na hata thread natengeneza nakutuma inakwenda vizuri, sasa hilo tatizo linasababishwa na nini?.
 
Mimi nakaa mwanza mjini, eneo ninalopenda ni jukwaa la siasa, sasa wakati mwingine ninapojibu hoja za watu wengine ninaambiwa sina ruhusa kufanya kitendo kile, ila wakati mwingine inanikubalia, na hata thread natengeneza nakutuma inakwenda vizuri, sasa hilo tatizo linasababishwa na nini?.


JF imevamiwa ...... Vodacom wanahusika vipi??
 
mimi ni mtumiaji wa Vodacom kwa zaidi ya miaka kumi sasa,lakini majuzi tarehe 7/6/2015 vodacom wamekomba salio langu la Airtime Tsh.113,000/= kwa nusu saa kwa kisingizio cha internet eti kwa sababu nilikuwa sijajiunga na kifurushi chochote cha internet(hayo majibu ni kwa mujibu wa mtu wa customer-care aliyejitambulisha kuwa yupo mlimani city ambaye alikuwa ana-attend complain yangu iliyopewa no.REMEDY CSR 127848003).Salio lenyewe niliwekewa na my employer TZS 150,000 kwa utaratibu wa vodajaza ili kusaidia mawasiliano ya kufanikisha shughuli za mwajiri lakini vodacom wamelamba salio lote hivyo kupoteza hata maana ya initiative hiyo ya mwajiri hivyo najiandaa kujenga hoja kwa mwajiri kuachana na utaratibu huo kwani hausaidii shirika zaidi ya kulitia umasikini.kibaya zaidi,hata visibility haipo kwani customer care wa vodacom anakwambia umeliwa tsh.113,000 kwa nusu saa lakini hakuelezi ulitumia kwa kitu gani au ume-download nini(tofauti na voice calls ambapo hueleza umeongea na mtu wa namba fulani which you can confirm).Bado haingii akilini i.e.common sense na logic zinakataa kwa matumizi yapi ya internet yanaweza kula pesa yote kwa kipindi kifupi hivyo wakati shirika hilo hilo lina manage kutoa internet kwa TSh.25,000/= bila kikomo kwa mwezi,otherwise nielezwe kuwa sisi ndo tunagharamia hilo.
Kwa msingi wa maelezo hayo hapo juu,mtandao wa vodacom upo kuwatia umasikini wananchi wa Tanzania(you can imagine watu wangapi wameathirika) hivyo najiandaa kupeleka official complain TCRA ili wachunguze this unfair Pricing Model ya Vodacom ambayo ina-retard Tanzania National Development na vilevile media inabidi zifanye kazi ya kuwa-sensitize wananchi waelewe na kupinga upuuzi wa aina hii.
Nawasilisha
Mdau pole sana,mi vibukubuku vyangu huliwa sana nikajua ni mimi tu
 
Jaman voda ni siku ya tatu sasa Kisarawe hakuna internet.

Jana nimewapigia voda Mara tatu ila mkaniambia simu yangu itakuwa mbovu

Hadi sasa kila anayetumia voda huku analalamika hakuna internet

Imenibid nipande gari nije pugu maana hapa inasoma h+ kwahiyo cm yangu c mbovu ila mtandao wenu unazingua

Na vifurush vya mb nilivyojiunga juz na jana vmeenda WAP maana Intanet haipo Kisarawe
 
Back
Top Bottom