Vodacom Tanzania mkuje mueleze na ile voda mtonyo ni kitu gani?.Walaji tunaumizwa sana! Nani anasimamia haki zetu!? Wanakuvizia unatuma ama kutoa pesa, kwamba salio halitoshi inakuja meseji songesha terms & conditions ,kwa dharula unakubali.
Nimetoa 170,000; ikapungua 37Tzs garama makato yao! Wakanisongesha overdraft 2Tzs processing fee,2Tzs service fee! 4/37*100= 10.8% cost ya overdraft, na terms next transaction wanakata chao kwanza! Huu ni wizi!!!!
elezea zaidi sijakupata please...Walaji tunaumizwa sana! Nani anasimamia haki zetu!? Wanakuvizia unatuma ama kutoa pesa, kwamba salio halitoshi inakuja meseji songesha terms & conditions ,kwa dharula unakubali.
Nimetoa 170,000; ikapungua 37Tzs garama makato yao! Wakanisongesha overdraft 2Tzs processing fee,2Tzs service fee! 4/37*100= 10.8% cost ya overdraft, na terms next transaction wanakata chao kwanza! Huu ni wizi!!!!
Walaji tunaumizwa sana! Nani anasimamia haki zetu!? Wanakuvizia unatuma ama kutoa pesa, kwamba salio halitoshi inakuja meseji songesha terms & conditions ,kwa dharula unakubali.
Nimetoa 170,000; ikapungua 37Tzs garama makato yao! Wakanisongesha overdraft 2Tzs processing fee,2Tzs service fee! 4/37*100= 10.8% cost ya overdraft, na terms next transaction wanakata chao kwanza! Huu ni wizi!!!!
Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania