Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 9,015
- 16,148
Nilikuwa nje sana ya Dom kuelekea singida ..... Nilipaki tu kwenye kamji hapo kuna kacenter ..... Fresh lakini ilirudi mpesa
Ulimaliza hela yote nmb kupeleka mpesa?
Pole sana. Ila Dodoma nadhani kuna hotel unaweza kulala na kulipia kwa mpesa. Pole sana mkuu.
Lakini pia unaweza kwenda kulala hotelini na pesa ukalipa asubuhi.
Kulala kwenye gari ulijitakia mwenyewe.