Jana nimeona clip ya mh rais wetu mpendwa mheshimiwa ukht Samia kuhusu taarifa ya kifo cha mzee Mwinyi
Clip ile inamakosa yamejitokeza ambayo mh rais hakupenda yafike kwa jamii lkn yamefika. Wakosoaji wa kisiasa wanatumia fursa hio.
Ushauri
Taarifa kama zile zisiwe live zirkodiwe zieditiwe ndio ziletwe kwa jamii. Zipo software nyingi za video editing. Wapo vijana wengi wamesoma audio and video production, wamesoma adobe photoshop, premium and software nyingi za picture, audio and video tuwajiri vijana hawa ili tuimarishe kitengo cha habari Ikulu.
Neno moja la rais wa nchi ni thamani kubwa na sisi watu wa research huwa tunalitumia ktk literature review zetu.
Kwa hivyo vitengo vya habari viwe makini ktk video na picha za mh rais zinazotumwa kwa jamii.
Mambo kama haya ktk baadhi ya nchi mkuu wa kitengo anawajibika kwa kujiuzulu kutokana na kasoro.
Clip ile inamakosa yamejitokeza ambayo mh rais hakupenda yafike kwa jamii lkn yamefika. Wakosoaji wa kisiasa wanatumia fursa hio.
Ushauri
Taarifa kama zile zisiwe live zirkodiwe zieditiwe ndio ziletwe kwa jamii. Zipo software nyingi za video editing. Wapo vijana wengi wamesoma audio and video production, wamesoma adobe photoshop, premium and software nyingi za picture, audio and video tuwajiri vijana hawa ili tuimarishe kitengo cha habari Ikulu.
Neno moja la rais wa nchi ni thamani kubwa na sisi watu wa research huwa tunalitumia ktk literature review zetu.
Kwa hivyo vitengo vya habari viwe makini ktk video na picha za mh rais zinazotumwa kwa jamii.
Mambo kama haya ktk baadhi ya nchi mkuu wa kitengo anawajibika kwa kujiuzulu kutokana na kasoro.