kama asingekuwa muhusika mkuu ingemgharimu,ila kwa kuwa ni muhusika mkuu nadhani karata zake atazichanga vyema.....zaidi kwa maslahi ya kitaifa....Sasa huyu dogo Ray namuonea tu huruma anakuwa double agent bila kupendana
vipi kuhusu prison break mkuu......???Hii kama series ya 24hrs ya Jack Bauer, kila episode ni kali kuliko ya nyuma, nimeshakua teja [emoji382][emoji381][emoji377]
zefania zuberi au..??[emoji87] ...Majina ya wahusika kwenye hii hadithi yameondoa ladha kwa wasomaji makini..!
Inaelekea alikuwa akimchunga sana cheupe"hawa ndio mafala wanaotugongea mademu zetu vyuoni, wanajifanya 'wajasiriamali' kumbe wazee wa kitengo".
Ray bwana anawaza mademu tuuuuuuuuuuuuuu, ahsante sana mkuu sikuwaza kabisaaa kama baba Bite atakuwa usalama wa Taifa nlichojua kuwa na yy ni wale waleeeeeee
Washaanza kukusumbua? Itafika mwisho kweli hii?Wakuu,
Kutokana na sababu za kimaadili na kujaribu simulizi hii iendelee pasipo mushkeli.. Inanipasa kubadili baadhi ya majina ya wahusika..
Wahusika hao na majina yao ya sasa ni kama ifuatavyo, pasipo kutaja majina yao ya awali;
1. Waziri - Mhe. Charles Wangwe
2. Mwanachama wa The Board aliyekuwa mbunge na kujiuzuru miaka michache iliyopita - Khalid Mohammed
3. Askofu mwanachama wa The Board - Askofu Eliyah Kamei
4. Kampuni ya Utafutaji mafuta Morogoro - Quebec Energy.
Kwahiyo, kuanzia Episode hii ya 5 ambayo nimeiweka tayari nimebadilisha majina ya wahusika hao na na episode zote zinazofuata wahusika hao watafahamika kama inavyoonekana hapo juu..
Samahani kwa usumbufu!
Shukarani..
Sidhani kama kuna shida maana hakuna baya linalozungumziwaWashaanza kukusumbua? Itafika mwisho kweli hii?
Wa sita jumamosi..hivi hawa vipepeo wapo watano tu? mbona nakatafuta kakipepeo ka sita sikaoni!? teh teh
Bila shaka yoyote! Itafika mwisho..Washaanza kukusumbua? Itafika mwisho kweli hii?
Aisee Mkuu ukweli mie sichoki we ni bora jisemee mwenyewe na nafsi yakoMkuu tengeneza pdf doc utuuzie kupitia link,
Mana haya mambo ya kutupia episode kila baada ya siku kadhaa unatuchosha
Mkuu nawezaipata hiyo series kwa njia ya email...??Kiukweli kwa sasa nina arosto ya vitu viwili tu SHOOTER TV SERIES na VIPEPEO STRATEGY 00034, hzi arosto kwakweli siku nikipata tiba nzima nitafanya sherehe
Kwa urahisi zaidi nenda pale post ya kwanza kabisa # 1 kwenye episode 1 pale mwishoni nimeweka link za episode zote.. Na link ya episode 5 nimeshaiongeza tayariJamani hiyo page [HASHTAG]#1115[/HASHTAG] naipataje
Shukrani..Nashukuru mkuu kwa uzi mtamu
Shooter tv series naiangalia ila sijui kwa nini sina mzuka nayo kiivyo. Sijui kwa sababu niliiona movie yake. Kuna series nyengine inaitwa designated survivor ni nzuri sana mambo hayohayo ya FBIMkuu nawezaipata hiyo series kwa njia ya email...??
Labda nikutumie link mkuu udownload ni simple tu hata kwenye simu unafanyaMkuu nawezaipata hiyo series kwa njia ya email...??