Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Sio siri jumamosi ni mbali mkuu ze bold na cheupe wako bibie nifah.. Hamna namna tunaweza edit ratiba? ili kukabiliana na hii arosto
Wapendwa wetu...
Kuandaa story yahitaji muda wa kutosha,na bwana mkubwa The bold yuko busy na majukumu ya kikazi.

Anajitahidi sana kiukweli kubalance mambo.
Lakini mkumbuke mwisho wa siku nae lazima atafute mkate wa family,vuteni subira jama...jumamosi sio mbali
Asanteni.

#TheBold's
Shemu hope mko poa .... jmos mbaliiiii
 
Wapendwa wetu...
Kuandaa story yahitaji muda wa kutosha,na bwana mkubwa The bold yuko busy na majukumu ya kikazi.

Anajitahidi sana kiukweli kubalance mambo.
Lakini mkumbuke mwisho wa siku nae lazima atafute mkate wa family,vuteni subira jama...jumamosi sio mbali
Asanteni.

#TheBold's
Huyu jamaa si wampe ajira tuu humu JF aache hizo kazi
 
Wapendwa wetu...
Kuandaa story yahitaji muda wa kutosha,na bwana mkubwa The bold yuko busy na majukumu ya kikazi.

Anajitahidi sana kiukweli kubalance mambo.
Lakini mkumbuke mwisho wa siku nae lazima atafute mkate wa family,vuteni subira jama...jumamosi sio mbali
Asanteni.

#TheBold's
Upo sahihi japokuwa utamu ukikolea watakuendelea......tunamruhusu atafuta riziki na cheupe wake asikose matunzo...aendele kung'ara kama mnavyomwona
 
Weeeeee wataiweza price yake?
Acha masikhara bwana.
Sio mbaya...ni wazo zuri pia.
Ndio kama mtu anatumia muda wake kuandaa mambo mazuri ya kuelimisha na kuburidisha ..kwanini wasimpe ajira aweke nguvu kubwa zaidi huku ili hata kila wiki aweke makala moja mambo yaende...?

Kama sio ajira au motisha tuu .. JF ni chama kubwa bwana
 
Ndio kama mtu anatumia muda wake kuandaa mambo mazuri ya kuelimisha na kuburidisha ..kwanini wasimpe ajira aweke nguvu kubwa zaidi huku ili hata kila wiki aweke makala moja mambo yaende...?

Kama sio ajira au motisha tuu .. JF ni chama kubwa bwana
Sema afanye kama part time best...hiyo inamake sense kiasi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom