Hiyo ya greyson mwenye mtindio wa ubongo naikumbuka, alikua na dada yake anaitwa destiny, nadhan walikua wanakaa na bibi yao sijui! Greyson alikua ni genious, akachukuliwa na marekani akawa anadesign computers. Baadae tz wakatuma kikosi cha makomando kwende kumteka (wakiongozwa na komando buberwa

), wakamleta tz akawa anawafanyia kazi ile km america (ofisi yake ilikua under ground nje ya mji huko) america wakashtuka nao wakaja kumchukua tena. Sasa nimesahau mwanzo wake kabisa na mwisho wake, hata jina pia sikumbuki.
Aargh jamaa nae alikua na story nyingiii