gkileo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 1,096
- 487
episode ya sita inatoka lini?
hongera kwa kazi nzuri
...ya tano imetoka kwani?
episode ya sita inatoka lini?
hongera kwa kazi nzuri
Tayari! Post # 1115...ya tano imetoka kwani?
Nakazaa , kwanza huu uzinaupiti kila baada ya siku tatu iviiiteh teh tohoo umeniacha hoi ndugu yangu yaan ni sawa na unataka kubanja halafu unajikakamua usibanje..soma mkuu usijipe mipuresha ya bure

Katika simulizi la Ep-5 nimegungundua wazir mwenye hicho cheo anashughuli kubwa na matata sana.Tayari! Post # 1115
umenena hakika hata mie nimwambia afanye hivyo amesema ataanza mwaka huu........nilikuwa sana mpenzi wa vitabu zamani kwa sasa sijapata wa mtunzi anayenivutia kusoma vitabu vyake (nazungumzia vya kiswahili)
Nimekufurahisha na nini mkuu?
Naona aibu kukujibu bwana, labda mamaang ndo alokuwaga ananipakatiaClkey..usiniambie kwamba hujawahi kupakatwa?!!! kidding
Nishaweka mda mrefu tu! Episode 5 iko post # 1115Jumatano ndo hii tunasubiri kwa hamu mkuu The Bold.
Ooohh pole! Hujaenda lunchDaah sijaenda Lunch kabisa asante The bold .......umenikumbusha Inspekta Kombora anapokuwa anamkabidhi Joram tarifa fulani........Ray lazima atakuwa mjuzi zaidi ya wengine kwa maana nyingine ndio Will Gamba au Joram Kiango wetu hahahaha

