[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hii episodi nimependa haya maneno..
"Hawa ndo mafala wanaotugongea mademu zetu wa chuo, wakijidai wajasiria mali kumbe wazee wa vutengo.
Sema huwa wana wanani.....kho kho..kho...kho...(sorry nimepaliwa)
Ooohh pole! Hujaenda lunch [emoji23]
Itabidi niwe naweka episode jioni jioni [emoji23] [emoji23]
Hii episodi nimependa haya maneno..
"Hawa ndo mafala wanaotugongea mademu zetu wa chuo, wakijidai wajasiria mali kumbe wazee wa vutengo.
Sema huwa wana wanani.....kho kho..kho...kho...(sorry nimepaliwa)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahaha kubana matumizi kiaina.....
Woooww!! Ila waweza kuchangia hata sasa [emoji4] [emoji4]Aiseeee, kama vipi hii kitu ifanye pdf tuichangie aiseee, mana kama ingekua ni movie, pale holywood ungekua unatembelea Range...
Daah sijaenda Lunch kabisa asante The bold .......umenikumbusha Inspekta Kombora anapokuwa anamkabidhi Joram tarifa fulani........Ray lazima atakuwa mjuzi zaidi ya wengine kwa maana nyingine ndio Will Gamba au Joram Kiango wetu hahahaha
mkuu uteja umeuanza sasa hv? wenzio tushachidibenzika tangu ep 1 na dose yenyewe The bold anatupa kwa wiki mara 2 hadi tuje tupone siyo leo😀😀😀😀😀Hii kama series ya 24hrs ya Jack Bauer, kila episode ni kali kuliko ya nyuma, nimeshakua teja [emoji382][emoji381][emoji377]
Mkuuuu salute
[emoji23][emoji23][emoji23] asante mkuu! The bold alikuwa anawaza watoto wakali wanavyochukuliwa na The uncles !pole kwa kupaliwa.........@The bold anazama kwenye uhalisia haswa
Ray hana qualifications za Willy Gamba au Joram Kiango, kutaka kumvalisha Ray viatu vya hao ni mwanzo wa kuiharibu story nzima mwishoni mkuu