Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 6,156
- 7,812
Hata hii story ipo ki mkakati
![]()
Ha ha ha ha kwamba Mzee wa kila mtu abebe msalaba wake anajifagilia kuumaliza mtandao
Hata hii story ipo ki mkakati
![]()
asante mkuu! The bold alikuwa anawaza watoto wakali wanavyochukuliwa na The uncles !
Hahahaaa!
Cc; cheupe
huna lolote nimeona umecoment mda mrefu nikakuchunia tuHata kuniita aiseee
Ww c umenitangulia nliamua namm nifanye kimya kimya tuone sshuna lolote nimeona umecoment mda mrefu nikakuchunia tu
na ndo maana nikakuchunia ujidai na wwWw c umenitangulia nliamua namm nifanye kimya kimya tuone ss
Baba Bite nimeona kaweka sema ntaisoma nikiwa home nitonye nijue kilichomooumeona kazi yangu sasa? baba bite/justin katika ubora wangu 😀😀😀
siyo mtu wa mchezomchezo aiseee ni mzee wa kitengo tena inaonekana rank yake niya juu kiasi fulani hvBaba Bite nimeona kaweka sema ntaisoma nikiwa home nitonye nijue kilichomoo
Ilikuwa haijapandushwa mkuu. Samahani kwa usumbufu ila nashukuru mmo. Itaendelea lini tena?Nishaweka mda mrefu tu! Episode 5 iko post # 1115
unanitukana ehtiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Ndio maana nakupendaWakuu,
Kutokana na sababu za kimaadili na kujaribu simulizi hii iendelee pasipo mushkeli.. Inanipasa kubadili baadhi ya majina ya wahusika..
Wahusika hao na majina yao ya sasa ni kama ifuatavyo, pasipo kutaja majina yao ya awali;
1. Waziri - Mhe. Charles Wangwe
2. Mwanachama wa The Board aliyekuwa mbunge na kujiuzuru miaka michache iliyopita - Khalid Mohammed
3. Askofu mwanachama wa The Board - Askofu Eliyah Kamei
4. Kampuni ya Utafutaji mafuta Morogoro - Quebec Energy.
Kwahiyo, kuanzia Episode hii ya 5 ambayo nimeiweka tayari nimebadilisha majina ya wahusika hao na na episode zote zinazofuata wahusika hao watafahamika kama inavyoonekana hapo juu..
Samahani kwa usumbufu!
Shukarani..
