Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

mkuu uteja umeuanza sasa hv? wenzio tushachidibenzika tangu ep 1 na dose yenyewe The bold anatupa kwa wiki mara 2 hadi tuje tupone siyo leo😀😀😀😀😀
Nilikuepo pia tangu episode 1 kimya kimya, ila yamenifika shingoni, imebidi nitoe duku duku langu
 
Wakuu,

Kutokana na sababu za kimaadili na kujaribu simulizi hii iendelee pasipo mushkeli.. Inanipasa kubadili baadhi ya majina ya wahusika..

Wahusika hao na majina yao ya sasa ni kama ifuatavyo, pasipo kutaja majina yao ya awali;

1. Waziri - Mhe. Charles Wangwe

2. Mwanachama wa The Board aliyekuwa mbunge na kujiuzuru miaka michache iliyopita - Khalid Mohammed

3. Askofu mwanachama wa The Board - Askofu Eliyah Kamei

4. Kampuni ya Utafutaji mafuta Morogoro - Quebec Energy.

Kwahiyo, kuanzia Episode hii ya 5 ambayo nimeiweka tayari nimebadilisha majina ya wahusika hao na na episode zote zinazofuata wahusika hao watafahamika kama inavyoonekana hapo juu..


Samahani kwa usumbufu!

Shukarani..
 
Wakuu,

Kutokana na sababu za kimaadili na kujaribu simulizi hii iendelee pasipo mushkeli.. Inanipasa kubadili baadhi ya majina ya wahusika..

Wahusika hao na majina yao ya sasa ni kama ifuatavyo, pasipo kutaja majina yao ya awali;

1. Waziri - Mhe. Charles Wangwe

2. Mwanachama wa The Board aliyekuwa mbunge na kujiuzuru miaka michache iliyopita - Khalid Mohammed

3. Askofu mwanachama wa The Board - Askofu Eliyah Kamei

4. Kampuni ya Utafutaji mafuta Morogoro - Quebec Energy.

Kwahiyo, kuanzia Episode hii ya 5 ambayo nimeiweka tayari nimebadilisha majina ya wahusika hao na na episode zote zinazofuata wahusika hao watafahamika kama inavyoonekana hapo juu..


Samahani kwa usumbufu!

Shukarani..
Ndio maana nakupenda
Naam...sasa iko njema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom