Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
Mda mwingine hata handwriting inaonesha huyu mwandishi anaandika UwongoBahati mbaya sijawahigi kupiga picha toka nmezaliwa
Mda mwingine hata handwriting inaonesha huyu mwandishi anaandika UwongoBahati mbaya sijawahigi kupiga picha toka nmezaliwa
Episode 5
Baada ya kuingizwa kwenye gari nkawakuta jamaa wengine wawili walovalia mavazi yanayofanana na wale walonikamata
Nkajidai kuwahoji kwani nmefanya nn hadi kunikamata vile?Jamaa mmja akanijbu kwa usalama wangu natakiwa kutulia tuu lkn endapo nitafanya kinyume na hapo ntawajua wale n kina nani
'Nkajidai kufoka kidume nyie wapuuzi wakubwa naomben mniambie nyie ni kina nani jamaa mmja akaniambia unataka utujue sisi ni kina nani?
Nkamjbu ndio hapo hapo nkashtukiwa nmenaswa bonge ya kofi hadi nkaona nyota na punde si punde nkaishilia kwenye usingizi wa ajabu,mara nkaanza kuota wamemkamata Isack wamemtesa sanaaa,pia haikutosha wakamkamata na cheupe wangu
Salaleeee roho ikapitwa kuona jamaa wamemchukua ka moyo mashine kangu
Hahahaha
Itaendelea baadae
Kupata hadithi hii tafadhali tuma neno Bold kwenda namba 001 Nifah
Kuhonga ndo UBINADAMAngalia mkuu... Usije ukahonga dunia na vyote vilivyomo ndani
Yaonekana mkuu umekufa na kuoza kabisaKwa Clkey LET IT B MDAU
Hakuna uwongo hapo marehem Remy nyuma mbonaMda mwingine hata handwriting inaonesha huyu mwandishi anaandika Uwongo
SalaleeeeeeeeeEti salaleeeee
Anaota huyo mwache bwanaYaonekana mkuu umekufa na kuoza kabisa
Acha kukatisha watu tamaaHakuna uwongo hapo marehem Remy nyuma mbona
Kabisa hambiliki mwananguAnaota huyo mwache bwana
Kabisa mdau,huyu Clkey amenibambaYaonekana mkuu umekufa na kuoza kabisa
Mafanikio huanza na ndotoAnaota huyo mwache bwana
Tatizo lako mkuu ww mbishiAcha kukatisha watu tamaa
Nami ndo napenda typ hizo ili wengine wasimendee
Kwa kusema ukweli,Tatizo lako mkuu ww mbishi
Moyo sukuma damu........Kwa kusema ukweli,
Haya
Dedication kwako [HASHTAG]#MoyoMashine[/HASHTAG]
Mkuu mimi nitamuomba Producer ( the Bold) niwe Tony(afisa mikopo FINCA na demu wangu awe Grace(Mfanyakazi wa Tigo)Niko tayar ila sio UHUSIKA WA BABA BITE
Kila ka heri mkuu ila tigo isiwe 071Mkuu mimi nitamuomba Producer ( the Bold) niwe Tony(afisa mikopo FINCA na demu wangu awe Grace(Mfanyakazi wa Tigo)
Wale majirani zake wala bata proffesional..
Hapa unacheza scene chache lakini za bata la nguvu..!
Club, swimming, kuna kwa kitanda....
Afu pia si unajua Tigo wanaajiri Watoto Visuuu....! So lazima nilitewe visu kama vile vya Tigo...
Wakuu nitakuwa Tony mla bata
Core task ya Moyo kupenda,Moyo sukuma damu........