Viongozi wa Dini wataka Vijana wasitumike kuchafua amani ya Nchi

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Walid Kawambwa, amewasihi vijana wasikubali kutumika na baadhi ya watu wakiwemo wanasiasa au viongozi wa dini ambao wanakusudia kuharibu amani na utulivu uliopo nchini.

Sheikh Kawambwa alisema hayo jana jijini Dar es Salaam, alipokuwa akizungumza a waandishi wa habari kuhusu mwenendo unaoendelea wa kuwepo viashiria vya kutaka kuvunjaamani ya nchi.

"Kamati ya amani na viongozi wa dini madhehebu mbalimbali wa Mkoa wa Dar es Salaam, tutaendelea kulinda amani ya nchi na tunalaani matamshi yanayotaka kuleta machafuko katika chi vetu hasa vijana wasikubali kamwe kutumiwa na wanasiasa au viongozi wa dini mbalimbali," alisisitiza.

Pia, Sheikh Kawambwa alisema kamati yake ya amani wameipokea kauli ilitolewa hivi karibuni na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Camilius Wambura, kuwaonya baadhi ya watu wanaotaka kuharibu amani kuacha mara moja.

Alisema IGP aliwaomba Watanzania kuwa watulivu kwani wasikubali kutumiwa na baadhi ya watu wasiokuwa na nia njema ya amani nchini kwa kuwashawishi kufanya maandamano.

"Vyombo vya ulinzi na usalama wasisite kufanya kazi ya kuimalisha ulinzi wa nchi yetu na kila Mtanzania anatakiwa kulinda amani iliyoko, endapo amani ya chi yetu ikivurugika hakuna hatakayesalia.

Aliongeza kuwa: "Ni wajibu wa kila mmoja kuhakikisha anadumisha amani na mshikamano ambao ulioasisiwa na wazee wetu kwani sisi ni jahazi moja linaloitwa Watanzania"
 
Hua sikubaliani kbs na mentality kama hizi za huyu sheikh, ni vzr watofautishe wananchi kupinga vitu ambavyo sio sawa au sio haki kwa maslah ya Taifa!! Kuna unafiki mkubwa san kwa baadhi ya viongoz wa dini, ni vzr tutofautishe ujasir wa kuhoji na kupinga. Hizi ni mentality za uvccm kbs yaan ukipinga baadhi ya mamb ya utawala utaishia kuitwa mtukanaji, msaliti na usiependa aman ya Nchi!!! That's mentality ya kijinga kbs.
 
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Walid Kawambwa, amewasihi vijana wasikubali kutumika na baadhi ya watu wakiwemo wanasiasa au viongozi wa dini ambao wanakusudia kuharibu amani na utulivu uliopo nchini.

Sheikh Kawambwa alisema hayo jana jijini Dar es Salaam, alipokuwa akizungumza a waandishi wa habari kuhusu mwenendo unaoendelea wa kuwepo viashiria vya kutaka kuvunjaamani ya nchi.

"Kamati ya amani na viongozi wa dini madhehebu mbalimbali wa Mkoa wa Dar es Salaam, tutaendelea kulinda amani ya nchi na tunalaani matamshi yanayotaka kuleta machafuko katika chi vetu hasa vijana wasikubali kamwe kutumiwa na wanasiasa au viongozi wa dini mbalimbali," alisisitiza.

Pia, Sheikh Kawambwa alisema kamati yake ya amani wameipokea kauli ilitolewa hivi karibuni na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Camilius Wambura, kuwaonya baadhi ya watu wanaotaka kuharibu amani kuacha mara moja.

Alisema IGP aliwaomba Watanzania kuwa watulivu kwani wasikubali kutumiwa na baadhi ya watu wasiokuwa na nia njema ya amani nchini kwa kuwashawishi kufanya maandamano.

"Vyombo vya ulinzi na usalama wasisite kufanya kazi ya kuimalisha ulinzi wa nchi yetu na kila Mtanzania anatakiwa kulinda amani iliyoko, endapo amani ya chi yetu ikivurugika hakuna hatakayesalia.

Aliongeza kuwa: "Ni wajibu wa kila mmoja kuhakikisha anadumisha amani na mshikamano ambao ulioasisiwa na wazee wetu kwani sisi ni jahazi moja linaloitwa Watanzania"
Amani huchafuliwa na watawala.., unategemea nin mtawala asipotenda haki kwa watawaliwa. Bila kuzilinda Rasilimali zetu inavyotakiwa amani itabaki kuwa neno tu.
 
Viongozi wengi wa dini wa kizazi hiki hawana unabii wowote kutoka kwa Mungu ndo maana kazi imebaki kujipendekeza kwa watawala hawana tofauti na maamuma.
 
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Walid Kawambwa, amewasihi vijana wasikubali kutumika na baadhi ya watu wakiwemo wanasiasa au viongozi wa dini ambao wanakusudia kuharibu amani na utulivu uliopo nchini.

Sheikh Kawambwa alisema hayo jana jijini Dar es Salaam, alipokuwa akizungumza a waandishi wa habari kuhusu mwenendo unaoendelea wa kuwepo viashiria vya kutaka kuvunjaamani ya nchi.

"Kamati ya amani na viongozi wa dini madhehebu mbalimbali wa Mkoa wa Dar es Salaam, tutaendelea kulinda amani ya nchi na tunalaani matamshi yanayotaka kuleta machafuko katika chi vetu hasa vijana wasikubali kamwe kutumiwa na wanasiasa au viongozi wa dini mbalimbali," alisisitiza.

Pia, Sheikh Kawambwa alisema kamati yake ya amani wameipokea kauli ilitolewa hivi karibuni na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Camilius Wambura, kuwaonya baadhi ya watu wanaotaka kuharibu amani kuacha mara moja.

Alisema IGP aliwaomba Watanzania kuwa watulivu kwani wasikubali kutumiwa na baadhi ya watu wasiokuwa na nia njema ya amani nchini kwa kuwashawishi kufanya maandamano.

"Vyombo vya ulinzi na usalama wasisite kufanya kazi ya kuimalisha ulinzi wa nchi yetu na kila Mtanzania anatakiwa kulinda amani iliyoko, endapo amani ya chi yetu ikivurugika hakuna hatakayesalia.

Aliongeza kuwa: "Ni wajibu wa kila mmoja kuhakikisha anadumisha amani na mshikamano ambao ulioasisiwa na wazee wetu kwani sisi ni jahazi moja linaloitwa Watanzania"
Bakwata mnawadhalilisha sana Waislam wa nchi hii
 
Back
Top Bottom