Tanganyika ni nchi inayotumikishwa kwa kivuli cha Tanzania?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
4,694
6,396
Hivi nani mmiliki wa Tanzania? Watanganyika hawaitaki, kadhalika na Wazanzibar.

Ikiwa wote hao hawaridhishwi na wala kunufaishwa na uwepo wa Tanzania, ni nani hasa mnufaika wake?

Ni kama vile Tanzania ni chombo kilichoundwa kwa lengo la kuinyonya Tanganyika na Watanganyika. Kwa nini nisiamini hivyo ikiwa waliopaswa kuona ufahari wa uwepo wake hawataki hata kuisikia?

Tanganyika ilianza kujitegemea mwaka 1961. Lakini hata kabla haijakaa sawa, mnamo mwaka 1964, ilitwishwa zigo la kuilea nchi nyingine iitwayo Zanzibar kwa mgongo wa Muungano.

Haikuishia hapo, ilifanyiwa na ukatili wa hali ya juu mno. Mwaka huo huo ilinyang'anywa jina lake ililolifahamau tokea utotoni mpaka siku iliporuhusiwa kujisimamia. Badala ya jina lake, iliamriwa itumie jina la kushea na jirani yake aitwaye Zanzibar ambaye ni sawa na mtoto wake.

Tokea kipindi hicho, Tanganyika haikuwahi kuwa sawa. Imekuwa ikitumikishwa kwa namna mbalimbali iliyo rasmi na isiyo rasmi.

Wakati wa vita vya ukombozi barani Afrika, ndiyo iliyokuwa mstari wa mbele kuzisaidia nchi husika. Rasilimali zake na raia wake walishiriki mno katika hizo harakati.

Japo ilijulikana kuwa watu na vitu vilitoka Tanzania, lakini ukweli ni kuwa ni Tanganyika ndiyo iliyoubeba huo mzigo. Wazanzibar walikuwa wachache hivyo isingekuwa busara kuwapunguza kwa kuwapeleka raia wake vitani, na wala hawakuwa na fedha za kuchangia kwani sehemu kubwa ya fedha waliyokuwa nayo walikuwa wakipatiwa na baba yao mlezi, Tanganyika.

Imekuwa hivyo kwa miaka yote na ingali hivyo hata sasa.

Fikiri hali ya sasa. Zanzibar ingali ikiifaidi sana Tanganyika kwa mgongo wa Muungano.

Kama si Tanganyika kulazimishwa kuibeba Zanzibar, ingewezekana kwa Wazanzibar kushika nafasi kubwa ya uongozi Tanganyika?

Kama si Tanganyika kulazimishwa kuibeba Zanzibar, idadi kubwa ya Wazanzibar wangeweza kupata ajira Tanganyika kama ilivyo sasa?

Kama si Tanganyika kupewa jukumu la kuilea Zanziba, Tanganyika ingekubali raia wake waishi Zanzibar kama wageni wakati Wazanzibar wakijinafasi Tanganyika kama watoto walio kwa baba yao?

Ni dhahiri kwamba Tanganyika haijawahi kuufaidi uhuru wake tokea ikabidhiwe na Mzungu hadi sasa. Haina hata wimbo wake wa Taifa, wakati nchi zingine zote za Afrika, Zanzibar ikiwemo, zikiwa na nyimbo zao kwa manufaa yao. Wimbo wa sasa unaotumika kama wa Taifa nchini Tanganyika, huanza kwa maombi ya kuiombea Afrika kisha Tanzania. Kwa maana hiyo, tokea huo wimbo uanze kutumika,inawezekana Tanganyika haijawahi kujiombea.

Ni lini watawala wataacha kuitumikisha Tanganyika kwa manufaa ya nchi zingine kwa kutumia mwamvuli uitwao Tanzania?

Lini Tanganyika itarejea kwenye uhuru wake halisi ilioupata tarehe 09/12/1961?
 
Naipenda nchi yangu Jamhuri ya Tanganyika

FB_IMG_1702085740919.jpg
 
Hakuna aliye walazimisha kuibeba Zanzibar ni upumbavu wenu wenyewe na limungu mtu lenu la butiama kwa ufedhuri wake na matamaa ya kipumbavu lililokuwa nayo zee lile.

Zee pumbavu sana lile lili haribu nchi kila seka kisa kuendeleza mawazo yake ya kipuuzi puuzi.
 
Bebeni hilo zigo la misumari Zanzibar msi mnajifanya kupenda sana muungano wa kipumbavu kupata kutokea duniani kuliko kupenda li nchi lenu mlilo lizika.

Hakuna majitu matahira kama Matanganyika kuanzia maviongozi yake manasiasa yake na mananchi yote hovyo kabisa
 
Uko sahihi Mwalimu Nyerere kati ya makosa makubwa aliyofanya ni hili la Tanganyika kuibeba Zanzibar!
Nyerere kafanya jambo kubwa sana katika ulimwengu huu amani unoiona leo tz kuwepo tanganyika +zanzibar =tanzania ndio inokupa kiburi kutukana waasis wa nchi hii leo bila ya zanzibar kuunganishwa na tanganyika ungekuwa unahubiri wale wagogo wale wasukuma wale wachaga wale wazaram lkn nyerere aliwasoma wazanzibar ni watu wa aina gani uvumilivu wao sio km wa wtanganyika aliona hilo kuponza ukabila kwa watanganyka kila mmoja angejiona kabila lake lina haki zaidi kuongoza tanganyka mfano halisi angalia jirani ztu wakunya wanavoteseka na ukabila imefka hadi kama sio mkikuyu au mtu kutoka mlima kenya au iktokezea kabila jengine wamkubali wao ndio wanahis ndio ana stahik kuongoza kenya tena akili zao wanaona nijambo la kawaida tu kuhubiri ukabila leo unaiona kenya ilivokua haina utulivu chuki za ukabila wazi wazi na ruwanda burundi ugonjwa ndio huo huo ukabila unawala nafsi zao kwa busara ya waasisi km nyerere aliona hilo mapema alijua vizaz vijavo tusipo wekewa misingi imara mapema vitakuja ambukizwa virus Vya kikuyu , watusi na wahutu.muungano huu hutouona unamaana ukiwa una chuki ya udini ukabila ukanda lkn kwa mwenye akilitimamu hayuko tayr uvunjike
 
Nilisha wahi kujiuliza, kwanini Hayati Mwl. Nyerere aliipendelea na kuipenda sana Zanzibar?!.. mpaka chama akakipa jina la Mapinduzi ya Zanzibar. Hivi ni kusema kwamba chama tawala kinaakisi zaidi yalee yaliotokea Huko.

Vijana wa Tanganyika wamelala hoi, hawataki hata kujifunza kuhusu Muungano.

Ni kama kusema Muungano huu uliamriwa na mahaba binafsi ya viongozi na si matakwa ya wana wa nchi.

Watanganyika wengi walikuwa bado na ujinga mwingi, hata wangeshirikishwa jibu lingekuwa ni NDIOOO
 
Nyerere kafanya jambo kubwa sana katika ulimwengu huu amani unoiona leo tz kuwepo tanganyika +zanzibar =tanzania ndio inokupa kiburi kutukana waasis wa nchi hii leo bila ya zanzibar kuunganishwa na tanganyika ungekuwa unahubiri wale wagogo wale wasukuma wale wachaga wale wazaram lkn nyerere aliwasoma wazanzibar ni watu wa aina gani uvumilivu wao sio km wa wtanganyika aliona hilo kuponza ukabila kwa watanganyka kila mmoja angejiona kabila lake lina haki zaidi kuongoza tanganyka mfano halisi angalia jirani ztu wakunya wanavoteseka na ukabila imefka hadi kama sio mkikuyu au mtu kutoka mlima kenya au iktokezea kabila jengine wamkubali wao ndio wanahis ndio ana stahik kuongoza kenya tena akili zao wanaona nijambo la kawaida tu kuhubiri ukabila leo unaiona kenya ilivokua haina utulivu chuki za ukabila wazi wazi na ruwanda burundi ugonjwa ndio huo huo ukabila unawala nafsi zao kwa busara ya waasisi km nyerere aliona hilo mapema alijua vizaz vijavo tusipo wekewa misingi imara mapema vitakuja ambukizwa virus Vya kikuyu , watusi na wahutu.muungano huu hutouona unamaana ukiwa una chuki ya udini ukabila ukanda lkn kwa mwenye akilitimamu hayuko tayr uvunjike
Kwa taarifa yako tu, Mzanzibar hajawahi kuupoteza utambulisho wake. Ameendelea kubaki Mzanzibar tokea kipindi hicho hadi sasa.

Muungano bandia ulioingiwa mwaka 1964 haukulenga kuleta mshikamano, ulikuwa kwa manufaa ya watawala

Hata sasa Muungano kumeendelea kuwepo si kwa sababu una manufaa kwa raia bali unawasaidia watawala kutimiza matakwa yao binafsi. Kama na wewe upo kwenye circle ya watawala utakuwa unalifahamu hilo bayana.
 
Hivi nani mmiliki wa Tanzania? Watanganyika hawaitaki, kadhalika na Wazanzibar.

Ikiwa wote hao hawaridhishwi na wala kunufaishwa na uwepo wa Tanzania, ni nani hasa mnufaika wake?

Ni kama vile Tanzania ni chombo kilichoundwa kwa lengo la kuinyonya Tanganyika na Watanganyika. Kwa nini nisiamini hivyo ikiwa waliopaswa kuona ufahari wa uwepo wake hawataki hata kuisikia?

Tanganyika ilianza kujitegemea mwaka 1961. Lakini hata kabla haijakaa sawa, mnamo mwaka 1964, ilitwishwa zigo la kuilea nchi nyingine iitwayo Zanzibar kwa mgongo wa Muungano.

Haikuishia hapo, ilifanyiwa na ukatili wa hali ya juu mno. Mwaka huo huo ilinyang'anywa jina lake ililolifahamau tokea utotoni mpaka siku iliporuhusiwa kujisimamia. Badala ya jina lake, iliamriwa itumie jina la kushea na jirani yake aitwaye Zanzibar ambaye ni sawa na mtoto wake.

Tokea kipindi hicho, Tanganyika haikuwahi kuwa sawa. Imekuwa ikitumikishwa kwa namna mbalimbali iliyo rasmi na isiyo rasmi.

Wakati wa vita vya ukombozi barani Afrika, ndiyo iliyokuwa mstari wa mbele kuzisaidia nchi husika. Rasilimali zake na raia wake walishiriki mno katika hizo harakati.

Japo ilijulikana kuwa watu na vitu vilitoka Tanzania, lakini ukweli ni kuwa ni Tanganyika ndiyo iliyoubeba huo mzigo. Wazanzibar walikuwa wachache hivyo isingekuwa busara kuwapunguza kwa kuwapeleka raia wake vitani, na wala hawakuwa na fedha za kuchangia kwani sehemu kubwa ya fedha waliyokuwa nayo walikuwa wakipatiwa na baba yao mlezi, Tanganyika.

Imekuwa hivyo kwa miaka yote na ingali hivyo hata sasa.

Fikiri hali ya sasa. Zanzibar ingali ikiifaidi sana Tanganyika kwa mgongo wa Muungano.

Kama si Tanganyika kulazimishwa kuibeba Zanzibar, ingewezekana kwa Wazanzibar kushika nafasi kubwa ya uongozi Tanganyika?

Kama si Tanganyika kulazimishwa kuibeba Zanzibar, idadi kubwa ya Wazanzibar wangeweza kupata ajira Tanganyika kama ilivyo sasa?

Kama si Tanganyika kupewa jukumu la kuilea Zanziba, Tanganyika ingekubali raia wake waishi Zanzibar kama wageni wakati Wazanzibar wakijinafasi Tanganyika kama watoto walio kwa baba yao?

Ni dhahiri kwamba Tanganyika haijawahi kuufaidi uhuru wake tokea ikabidhiwe na Mzungu hadi sasa. Haina hata wimbo wake wa Taifa, wakati nchi zingine zote za Afrika, Zanzibar ikiwemo, zikiwa na nyimbo zao kwa manufaa yao. Wimbo wa sasa unaotumika kama wa Taifa nchini Tanganyika, huanza kwa maombi ya kuiombea Afrika kisha Tanzania. Kwa maana hiyo, tokea huo wimbo uanze kutumika,inawezekana Tanganyika haijawahi kujiombea.

Ni lini watawala wataacha kuitumikisha Tanganyika kwa manufaa ya nchi zingine kwa kutumia mwamvuli uitwao Tanzania?

Lini Tanganyika itarejea kwenye uhuru wake halisi ilioupata tarehe 09/12/1961?
Upumbavu wote huu ni ccm ndiyo waratibu.
 
Hivi nani mmiliki wa Tanzania? Watanganyika hawaitaki, kadhalika na Wazanzibar.

Ikiwa wote hao hawaridhishwi na wala kunufaishwa na uwepo wa Tanzania, ni nani hasa mnufaika wake?

Ni kama vile Tanzania ni chombo kilichoundwa kwa lengo la kuinyonya Tanganyika na Watanganyika. Kwa nini nisiamini hivyo ikiwa waliopaswa kuona ufahari wa uwepo wake hawataki hata kuisikia?

Tanganyika ilianza kujitegemea mwaka 1961. Lakini hata kabla haijakaa sawa, mnamo mwaka 1964, ilitwishwa zigo la kuilea nchi nyingine iitwayo Zanzibar kwa mgongo wa Muungano.

Haikuishia hapo, ilifanyiwa na ukatili wa hali ya juu mno. Mwaka huo huo ilinyang'anywa jina lake ililolifahamau tokea utotoni mpaka siku iliporuhusiwa kujisimamia. Badala ya jina lake, iliamriwa itumie jina la kushea na jirani yake aitwaye Zanzibar ambaye ni sawa na mtoto wake.

Tokea kipindi hicho, Tanganyika haikuwahi kuwa sawa. Imekuwa ikitumikishwa kwa namna mbalimbali iliyo rasmi na isiyo rasmi.

Wakati wa vita vya ukombozi barani Afrika, ndiyo iliyokuwa mstari wa mbele kuzisaidia nchi husika. Rasilimali zake na raia wake walishiriki mno katika hizo harakati.

Japo ilijulikana kuwa watu na vitu vilitoka Tanzania, lakini ukweli ni kuwa ni Tanganyika ndiyo iliyoubeba huo mzigo. Wazanzibar walikuwa wachache hivyo isingekuwa busara kuwapunguza kwa kuwapeleka raia wake vitani, na wala hawakuwa na fedha za kuchangia kwani sehemu kubwa ya fedha waliyokuwa nayo walikuwa wakipatiwa na baba yao mlezi, Tanganyika.

Imekuwa hivyo kwa miaka yote na ingali hivyo hata sasa.

Fikiri hali ya sasa. Zanzibar ingali ikiifaidi sana Tanganyika kwa mgongo wa Muungano.

Kama si Tanganyika kulazimishwa kuibeba Zanzibar, ingewezekana kwa Wazanzibar kushika nafasi kubwa ya uongozi Tanganyika?

Kama si Tanganyika kulazimishwa kuibeba Zanzibar, idadi kubwa ya Wazanzibar wangeweza kupata ajira Tanganyika kama ilivyo sasa?

Kama si Tanganyika kupewa jukumu la kuilea Zanziba, Tanganyika ingekubali raia wake waishi Zanzibar kama wageni wakati Wazanzibar wakijinafasi Tanganyika kama watoto walio kwa baba yao?

Ni dhahiri kwamba Tanganyika haijawahi kuufaidi uhuru wake tokea ikabidhiwe na Mzungu hadi sasa. Haina hata wimbo wake wa Taifa, wakati nchi zingine zote za Afrika, Zanzibar ikiwemo, zikiwa na nyimbo zao kwa manufaa yao. Wimbo wa sasa unaotumika kama wa Taifa nchini Tanganyika, huanza kwa maombi ya kuiombea Afrika kisha Tanzania. Kwa maana hiyo, tokea huo wimbo uanze kutumika,inawezekana Tanganyika haijawahi kujiombea.

Ni lini watawala wataacha kuitumikisha Tanganyika kwa manufaa ya nchi zingine kwa kutumia mwamvuli uitwao Tanzania?

Lini Tanganyika itarejea kwenye uhuru wake halisi ilioupata tarehe 09/12/1961?
Juzi tu siku ya uhuru wa Tanganyika nikashangaa sana kuona bango miaka 62 ya uhuru. Nikajiuliza kwa nini mwandishi hakutaka kuandika neno Tanganyika mpaka leo sielewi

Mara utaona uhuru wa Tanzania bara sijui ndio nchi gani
 
Hivi nani mmiliki wa Tanzania? Watanganyika hawaitaki, kadhalika na Wazanzibar.

Ikiwa wote hao hawaridhishwi na wala kunufaishwa na uwepo wa Tanzania, ni nani hasa mnufaika wake?

Ni kama vile Tanzania ni chombo kilichoundwa kwa lengo la kuinyonya Tanganyika na Watanganyika. Kwa nini nisiamini hivyo ikiwa waliopaswa kuona ufahari wa uwepo wake hawataki hata kuisikia?

Tanganyika ilianza kujitegemea mwaka 1961. Lakini hata kabla haijakaa sawa, mnamo mwaka 1964, ilitwishwa zigo la kuilea nchi nyingine iitwayo Zanzibar kwa mgongo wa Muungano.

Haikuishia hapo, ilifanyiwa na ukatili wa hali ya juu mno. Mwaka huo huo ilinyang'anywa jina lake ililolifahamau tokea utotoni mpaka siku iliporuhusiwa kujisimamia. Badala ya jina lake, iliamriwa itumie jina la kushea na jirani yake aitwaye Zanzibar ambaye ni sawa na mtoto wake.

Tokea kipindi hicho, Tanganyika haikuwahi kuwa sawa. Imekuwa ikitumikishwa kwa namna mbalimbali iliyo rasmi na isiyo rasmi.

Wakati wa vita vya ukombozi barani Afrika, ndiyo iliyokuwa mstari wa mbele kuzisaidia nchi husika. Rasilimali zake na raia wake walishiriki mno katika hizo harakati.

Japo ilijulikana kuwa watu na vitu vilitoka Tanzania, lakini ukweli ni kuwa ni Tanganyika ndiyo iliyoubeba huo mzigo. Wazanzibar walikuwa wachache hivyo isingekuwa busara kuwapunguza kwa kuwapeleka raia wake vitani, na wala hawakuwa na fedha za kuchangia kwani sehemu kubwa ya fedha waliyokuwa nayo walikuwa wakipatiwa na baba yao mlezi, Tanganyika.

Imekuwa hivyo kwa miaka yote na ingali hivyo hata sasa.

Fikiri hali ya sasa. Zanzibar ingali ikiifaidi sana Tanganyika kwa mgongo wa Muungano.

Kama si Tanganyika kulazimishwa kuibeba Zanzibar, ingewezekana kwa Wazanzibar kushika nafasi kubwa ya uongozi Tanganyika?

Kama si Tanganyika kulazimishwa kuibeba Zanzibar, idadi kubwa ya Wazanzibar wangeweza kupata ajira Tanganyika kama ilivyo sasa?

Kama si Tanganyika kupewa jukumu la kuilea Zanziba, Tanganyika ingekubali raia wake waishi Zanzibar kama wageni wakati Wazanzibar wakijinafasi Tanganyika kama watoto walio kwa baba yao?

Ni dhahiri kwamba Tanganyika haijawahi kuufaidi uhuru wake tokea ikabidhiwe na Mzungu hadi sasa. Haina hata wimbo wake wa Taifa, wakati nchi zingine zote za Afrika, Zanzibar ikiwemo, zikiwa na nyimbo zao kwa manufaa yao. Wimbo wa sasa unaotumika kama wa Taifa nchini Tanganyika, huanza kwa maombi ya kuiombea Afrika kisha Tanzania. Kwa maana hiyo, tokea huo wimbo uanze kutumika,inawezekana Tanganyika haijawahi kujiombea.

Ni lini watawala wataacha kuitumikisha Tanganyika kwa manufaa ya nchi zingine kwa kutumia mwamvuli uitwao Tanzania?

Lini Tanganyika itarejea kwenye uhuru wake halisi ilioupata tarehe 09/12/1961?
Muungano huu wa hovyo duniani kote unashikiliwa kwa mtutu wa bunduki na watawala wachache waliojimilikisha hatimiliki ya Tanganyika wasio na maono wenye mitazamo ya kizamani,nakwambia l have a dream kwamba siku moja muungano huu utafunjika na Tanganyika kuwa huru wkt ambapo chama chenye kujitambua kitaitoa ccm madarakani ,wananchi watapewa fursa ya kupiga kura ya maoni kma wanautaka au hawautaki huu muungano na hakika kwa upepo ulivyo kww wananchi hapo ndo itakiwa mwisho wa muungano fake ,nchi ya watu m60 inapelekeshwa na kuendeshwa na nchi ya watu m2 ,kwa sbb tu tunaviongozi wa hovyo hakuna mfano
 
Nyerere kafanya jambo kubwa sana katika ulimwengu huu amani unoiona leo tz kuwepo tanganyika +zanzibar =tanzania ndio inokupa kiburi kutukana waasis wa nchi hii leo bila ya zanzibar kuunganishwa na tanganyika ungekuwa unahubiri wale wagogo wale wasukuma wale wachaga wale wazaram lkn nyerere aliwasoma wazanzibar ni watu wa aina gani uvumilivu wao sio km wa wtanganyika aliona hilo kuponza ukabila kwa watanganyka kila mmoja angejiona kabila lake lina haki zaidi kuongoza tanganyka mfano halisi angalia jirani ztu wakunya wanavoteseka na ukabila imefka hadi kama sio mkikuyu au mtu kutoka mlima kenya au iktokezea kabila jengine wamkubali wao ndio wanahis ndio ana stahik kuongoza kenya tena akili zao wanaona nijambo la kawaida tu kuhubiri ukabila leo unaiona kenya ilivokua haina utulivu chuki za ukabila wazi wazi na ruwanda burundi ugonjwa ndio huo huo ukabila unawala nafsi zao kwa busara ya waasisi km nyerere aliona hilo mapema alijua vizaz vijavo tusipo wekewa misingi imara mapema vitakuja ambukizwa virus Vya kikuyu , watusi na wahutu.muungano huu hutouona unamaana ukiwa una chuki ya udini ukabila ukanda lkn kwa mwenye akilitimamu hayuko tayr uvunjike
Nyerere sio Mungu na kwa hili alitukosea sana watanganyika ,nchi si ya Rais ni ya wananchi na hadi leo serikali ya ccm inaogopa kuwapa fursa ya kuamua kama wanataka muungano au hawautaki,Muungano au la huamuliwa kwa wananchi wa nchi mbili zinazotaka kuungana kwa kuridhia au la kupitia kura ya maoni,serikali haijawahi kutoa fursa hii,ina hofu na wenye nchi ni wananchi,naamini itakuja sku chama makini kikichukua nchi ndo itakiwa mwanzo wa mwisho wa muungano huu fake
 
Nyerere kafanya jambo kubwa sana katika ulimwengu huu amani unoiona leo tz kuwepo tanganyika +zanzibar =tanzania ndio inokupa kiburi kutukana waasis wa nchi hii leo bila ya zanzibar kuunganishwa na tanganyika ungekuwa unahubiri wale wagogo wale wasukuma wale wachaga wale wazaram lkn nyerere aliwasoma wazanzibar ni watu wa aina gani uvumilivu wao sio km wa wtanganyika aliona hilo kuponza ukabila kwa watanganyka kila mmoja angejiona kabila lake lina haki zaidi kuongoza tanganyka mfano halisi angalia jirani ztu wakunya wanavoteseka na ukabila imefka hadi kama sio mkikuyu au mtu kutoka mlima kenya au iktokezea kabila jengine wamkubali wao ndio wanahis ndio ana stahik kuongoza kenya tena akili zao wanaona nijambo la kawaida tu kuhubiri ukabila leo unaiona kenya ilivokua haina utulivu chuki za ukabila wazi wazi na ruwanda burundi ugonjwa ndio huo huo ukabila unawala nafsi zao kwa busara ya waasisi km nyerere aliona hilo mapema alijua vizaz vijavo tusipo wekewa misingi imara mapema vitakuja ambukizwa virus Vya kikuyu , watusi na wahutu.muungano huu hutouona unamaana ukiwa una chuki ya udini ukabila ukanda lkn kwa mwenye akilitimamu hayuko tayr uvunjike
Ni uharo tu unahubiri hapa. Nyerere asingekuwa dikteta, kina Kambona, Tuntemeke Sanga, Edwin Mtei na wengine wangepata nafasi ya kutoa mchango wao, na leo hii Tanzania ingekuwa mbali sana.
 
Back
Top Bottom