Vijana wengi kwa sasa Tanzania wanajichubua kwasababu ya ubaguzi wa kifamilia na kijamii

Vijana wa kiume na wa kike sasa hivi wanajichubua kwasababu ya ubaguzi na upendeleo unaokuwepo ktk jamii

Mfano unakuta mtoto anakosea mzazi anamwambia kwamba amefanya hivyo na ndo maana tu mungu alimuumba mweusi

Mweusi kama chungu cha mchawi

Wewe ni mweusi hadi huko rohoni kwangu

Una uzuri gani wewe mweusi kama mkaa!

Tatizo wewe ni mweusi sana yaani mbayaa

Ila jamaa wewe ni mweusi aisee sijui huko kwenu ulitokea wapi

Wazazi wako sisi ni weupe hata sijui ilikuaje tukakuzaa ww ukawa mweusi kuliko watoto wote

Wazazi na jamii kuonyesha mapenzi kwa watoto au watu weupe huku wale weusi wakiachwa tu unakuta mzazi anampenda mtoto mweupe na kuonyesha mapenzi ya waziwazi dhidi ya yule mweusi.

Jamii ya kitanzania inaongoza kwa kuwabagua watu weusi nazungumzia mtu ambaye ni mweusi yaani cheusi mangala

Huko mashuleni ndo usiseme na utani wa hapa na pale, ukigombana tu na mtu cha kwanza anaanza kukushambulia na ngozi yako kwanza kwenda huko ndo maana wewe ni mweusi, peleka weusi wako huko, lione leusi.

Mwishoni kaka wa watu au dada wa watu anaanza kujichubua tu, ubaguzi unauma sana asikwambie mtu bora hata kuuawa kuliko kubaguliwa au maneno ya ubaguzi
Kwamba wakiwa na rangi nyeusi wanabaguliwa? Sikilizeni wakaka , yaani sis wanawake tunapenda wakaka weusi balaa, msijichubue kabisa mnaharibu, ukiwamweusi tembea kifua mbereee wadada wanapenda hiyo rangi
 
Linishike vipi mzee wakati hapa nachagua yupi wakumtafuna najichagulia tu.

Huwa namwambiaga demu wangu nikikuhitaji kwa sex ukazingua basi nachukua demu mwingine aka replace nafasi kwa muda.
Hapo nakuwa namchanganya anaweza kunipa hata akiwa period.

Na hii sio kwa demu mmoja bali ni demu yeyote ninayekuwa naye. Hadi wakati mwingine nakaa nawahurumia jinsi ninavyowaburuza kama watumwa vile.
Hawajielewi hao wadada
Labda ni watoto
Tall
Black
Hb ndo habarii
 
Umekutana na wanawake au visichana vichache mkuu
Kwa kweli nashukuru sijakutana na magume gume. Wachache sijajua kwako ni idadi gani. Wewe unaweza kuwa umetengea na wanaume 70-100 ukaona wachache. Mimi idadi ya wasichana niliotembea nao sijakutajia idadi rasmi ya nliotembea nao. Nmekwambia waliotaka kupata mimba kwa msisitizo. Wanaweza kuwa wachache kama ambavyo nawe ungesema waliotembea nawe na kukupa mimba ni wangapi.
 
Nani huyo
Vipi mkuu ulishapata ile lotion?
Screenshot_20210615-164928.jpg
 
Back
Top Bottom