Vijana wengi kwa sasa Tanzania wanajichubua kwasababu ya ubaguzi wa kifamilia na kijamii

Ndo maana hoja yako kuu ni kwamba wanaringa ingawaje kiuhalisia unawapenda kuwa nao ila shida unahofia kuwekwa kando muda wowote.

Ujue mwanaume mweupe anaweza kumtema demu mkali na asiumie badala yake ataumia demu. Hii ni kwasababu anajiamini kumiliki demu mwingine mkali zaidi pasipo gaharama yoyote.
Mm masuala ya kutemwa hayapo kwa kamusi yangu..!haipo
 
dizaini limekushikaaa..easy mzee
Linishike vipi mzee wakati hapa nachagua yupi wakumtafuna najichagulia tu.

Huwa namwambiaga demu wangu nikikuhitaji kwa sex ukazingua basi nachukua demu mwingine aka replace nafasi kwa muda.
Hapo nakuwa namchanganya anaweza kunipa hata akiwa period.

Na hii sio kwa demu mmoja bali ni demu yeyote ninayekuwa naye. Hadi wakati mwingine nakaa nawahurumia jinsi ninavyowaburuza kama watumwa vile.
 
Linishike vipi mzee wakati hapa nachagua yupi wakumtafuna najichagulia tu.

Huwa namwambiaga demu wangu nikikuhitaji kwa sex ukazingua basi nachukua demu mwingine aka replace nafasi kwa muda.
Hapo nakuwa namchanganya anaweza kunipa hata akiwa period.

Na hii sio kwa demu mmoja bali ni demu yeyote ninayekuwa naye. Hadi wakati mwingine nakaa nawahurumia jinsi ninavyowaburuza kama watumwa vile.
Inaonekana hawana direction...wanakutegemea wewe uwape hata ya mafuta...hapo ni sawa..endelea kuwaburuza boss
 
Ndo mnavyojipaga moyo hivyo ila hata ujifariji ukweli upo pale pale mwanaume mweupe anapendwa sana na wanawake na ndo maana mwanaume mweupe akimtongoza msichana mweusi huyo msichana anakuwa haamini kama kweli ni yeye amepata bahati yakutongozwa.

Ukweli upo wazi wanaume weusi hawajiamini ndo maana wanajikoboa kila siku wawe angalau na kaweupe fulani avutie wasichana.
Heee hii kali
 
Upo sahihi kabisa mkuu hata mie nimekutana na hali hiyo.

Wanaume weupe wanapendwa mno na mademu wengi wakiwa na wanaume weupe muda wote ni roho juu juu kuhofia kuibiwa.
Na wale wasiojiamini sasa ndo wanaponda wanaume weupe. Wanaume weupe wana mvuto flani kwa wanawake. Na wanawake wanaamini pamoja watazaa watoto weupe pia.
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom