Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,152
- 20,324
Nimeishi kwenye jamii za Hawa watu Takriban miaka 8 sasa. Nimefanya nao kazi za Maofsini na za Nje ya ofisi yaani za kijamii na Uchumi.
Pamoja na changamoto nilizoona ktk familia zao na mfumo mzima wa maisha yao lakini bado kuna nafuu sana ukilinganisha na ya kwetu sisi watu weusi.
Hizi jamii mbili ziko serious sana na Swala la Kifamilia, Ukoo na Generation( geneology).
Hawana masihara hata kidogo na hivyo imepelekea wanafanikiwa kifamilia, kiuchumi na hata mataifa yao.
Hawapendi kuchanganya.
Hawahendekezi hisia bali wanatanguliza Akili.
Muhindi au Mwarabu Babu wa Babu yake amezaliwa Tanzania lakini bado Vitukuu vyake haviko tayari kuchanganya Damu. Ikitokea basi ni bahati mbaya sana kwa upande wao.
Mimi naunga mkono mira na desturi zao
Tufika mahali tuache ujanja ujanja kwenye Mambo Muhimu ya Kifamilia.
Mfano mwingine Israeli kokote unakozaa mtoto lazima apimwe DNA kwanza ujua kama Myahudi.
Kama hauko serious kwenye swala la familia utakuwa serious kwenye Nini?
Wahindi na Warabu wamejizatiti hakuna kuzaa hovyo hovyo na mtu mweusi kwa sababu watu weusi hawajali mstakabali wa Maisha yao.
Kwa Muhindi utaoa au kuolewa tu na yule ambaye familia imeridhia uwe unampenda au humpendi lazima utii Wazazi.
Na kwakweli tunaona wanafanikiwa sana kwenye maswala ya kifamilia na Uchumi Pia.
Kwetu sisi ambao sote ni Weusi na tunaoana sisi kwa sisi bado hatuko serious na vimisemo kama Ktanda hakizai haramu.
Hii ni misemo ya jamii isyozingatia mustakabali wa maisha yao na kuhendekeza uhuni, kuzaa hovyo hovyo na maadili mabovu.
Pamoja na changamoto nilizoona ktk familia zao na mfumo mzima wa maisha yao lakini bado kuna nafuu sana ukilinganisha na ya kwetu sisi watu weusi.
Hizi jamii mbili ziko serious sana na Swala la Kifamilia, Ukoo na Generation( geneology).
Hawana masihara hata kidogo na hivyo imepelekea wanafanikiwa kifamilia, kiuchumi na hata mataifa yao.
Hawapendi kuchanganya.
Hawahendekezi hisia bali wanatanguliza Akili.
Muhindi au Mwarabu Babu wa Babu yake amezaliwa Tanzania lakini bado Vitukuu vyake haviko tayari kuchanganya Damu. Ikitokea basi ni bahati mbaya sana kwa upande wao.
Mimi naunga mkono mira na desturi zao
Tufika mahali tuache ujanja ujanja kwenye Mambo Muhimu ya Kifamilia.
Mfano mwingine Israeli kokote unakozaa mtoto lazima apimwe DNA kwanza ujua kama Myahudi.
Kama hauko serious kwenye swala la familia utakuwa serious kwenye Nini?
Wahindi na Warabu wamejizatiti hakuna kuzaa hovyo hovyo na mtu mweusi kwa sababu watu weusi hawajali mstakabali wa Maisha yao.
Kwa Muhindi utaoa au kuolewa tu na yule ambaye familia imeridhia uwe unampenda au humpendi lazima utii Wazazi.
Na kwakweli tunaona wanafanikiwa sana kwenye maswala ya kifamilia na Uchumi Pia.
Kwetu sisi ambao sote ni Weusi na tunaoana sisi kwa sisi bado hatuko serious na vimisemo kama Ktanda hakizai haramu.
Hii ni misemo ya jamii isyozingatia mustakabali wa maisha yao na kuhendekeza uhuni, kuzaa hovyo hovyo na maadili mabovu.