Tuige Mfumo wa Kifamilia kama Waarabu na Wahindi, Tutafanikiwa kama Familia na Taifa kwa Ujumla

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
12,152
20,324
Nimeishi kwenye jamii za Hawa watu Takriban miaka 8 sasa. Nimefanya nao kazi za Maofsini na za Nje ya ofisi yaani za kijamii na Uchumi.

Pamoja na changamoto nilizoona ktk familia zao na mfumo mzima wa maisha yao lakini bado kuna nafuu sana ukilinganisha na ya kwetu sisi watu weusi.

Hizi jamii mbili ziko serious sana na Swala la Kifamilia, Ukoo na Generation( geneology).

Hawana masihara hata kidogo na hivyo imepelekea wanafanikiwa kifamilia, kiuchumi na hata mataifa yao.

Hawapendi kuchanganya.
Hawahendekezi hisia bali wanatanguliza Akili.

Muhindi au Mwarabu Babu wa Babu yake amezaliwa Tanzania lakini bado Vitukuu vyake haviko tayari kuchanganya Damu. Ikitokea basi ni bahati mbaya sana kwa upande wao.

Mimi naunga mkono mira na desturi zao

Tufika mahali tuache ujanja ujanja kwenye Mambo Muhimu ya Kifamilia.

Mfano mwingine Israeli kokote unakozaa mtoto lazima apimwe DNA kwanza ujua kama Myahudi.

Kama hauko serious kwenye swala la familia utakuwa serious kwenye Nini?

Wahindi na Warabu wamejizatiti hakuna kuzaa hovyo hovyo na mtu mweusi kwa sababu watu weusi hawajali mstakabali wa Maisha yao.

Kwa Muhindi utaoa au kuolewa tu na yule ambaye familia imeridhia uwe unampenda au humpendi lazima utii Wazazi.

Na kwakweli tunaona wanafanikiwa sana kwenye maswala ya kifamilia na Uchumi Pia.

Kwetu sisi ambao sote ni Weusi na tunaoana sisi kwa sisi bado hatuko serious na vimisemo kama Ktanda hakizai haramu.

Hii ni misemo ya jamii isyozingatia mustakabali wa maisha yao na kuhendekeza uhuni, kuzaa hovyo hovyo na maadili mabovu.
 
swala na mira ndio nini?

Nimeishi kwenye jamii za Hawa watu Takriban miaka 8 sasa. Nimefanya nao kazi za Maofsini na za Nje ya ofisi yaani za kijamii na Uchumi.

Pamoja na changamoto nilizoona ktk familia zao na mfumo mzima wa maisha yao lakini bado kuna nafuu sana ukilinganisha na ya kwetu sisi watu weusi.

Hizi jamii mbili ziko serious sana na Swala la Kifamilia, Ukoo na Generation( geneology).

Hawana masihara hata kidogo na hivyo imepelekea wanafanikiwa kifamilia, kiuchumi na hata mataifa yao.

Hawapendi kuchanganya.
Hawahendekezi hisia bali wanatanguliza Akili.

Muhindi au Mwarabu Babu wa Babu yake amezaliwa Tanzania lakini bado Vitukuu vyake haviko tayari kuchanganya Damu. Ikitokea basi ni bahati mbaya sana kwa upande wao.

Mimi naunga mkono mira na desturi zao

Tufika mahali tuache ujanja ujanja kwenye Mambo Muhimu ya Kifamilia.

Mfano mwingine Israeli kokote unakozaa mtoto lazima apimwe DNA kwanza ujua kama Myahudi.

Kama hauko serious kwenye swala la familia utakuwa serious kwenye Nini?

Wahindi na Warabu wamejizatiti hakuna kuzaa hovyo hovyo na mtu mweusi kwa sababu watu weusi hawajali mstakabali wa Maisha yao.

Kwa Muhindi utaoa au kuolewa tu na yule ambaye familia imeridhia uwe unampenda au humpendi lazima utii Wazazi.

Na kwakweli tunaona wanafanikiwa sana kwenye maswala ya kifamilia na Uchumi Pia.

Kwetu sisi ambao sote ni Weusi na tunaoana sisi kwa sisi bado hatuko serious na vimisemo kama Ktanda hakizai haramu.

Hii ni misemo ya jamii isyozingatia mustakabali wa maisha yao na kuhendekeza uhuni, kuzaa hovyo hovyo na maadili mabovu.
 
Nimeishi kwenye jamii za Hawa watu Takriban miaka 8 sasa. Nimefanya nao kazi za Maofsini na za Nje ya ofisi yaani za kijamii na Uchumi.

Pamoja na changamoto nilizoona ktk familia zao na mfumo mzima wa maisha yao lakini bado kuna nafuu sana ukilinganisha na ya kwetu sisi watu weusi.

Hizi jamii mbili ziko serious sana na Swala la Kifamilia, Ukoo na Generation( geneology).

Hawana masihara hata kidogo na hivyo imepelekea wanafanikiwa kifamilia, kiuchumi na hata mataifa yao.

Hawapendi kuchanganya.
Hawahendekezi hisia bali wanatanguliza Akili.

Muhindi au Mwarabu Babu wa Babu yake amezaliwa Tanzania lakini bado Vitukuu vyake haviko tayari kuchanganya Damu. Ikitokea basi ni bahati mbaya sana kwa upande wao.

Mimi naunga mkono mira na desturi zao

Tufika mahali tuache ujanja ujanja kwenye Mambo Muhimu ya Kifamilia.

Mfano mwingine Israeli kokote unakozaa mtoto lazima apimwe DNA kwanza ujua kama Myahudi.

Kama hauko serious kwenye swala la familia utakuwa serious kwenye Nini?

Wahindi na Warabu wamejizatiti hakuna kuzaa hovyo hovyo na mtu mweusi kwa sababu watu weusi hawajali mstakabali wa Maisha yao.

Kwa Muhindi utaoa au kuolewa tu na yule ambaye familia imeridhia uwe unampenda au humpendi lazima utii Wazazi.

Na kwakweli tunaona wanafanikiwa sana kwenye maswala ya kifamilia na Uchumi Pia.

Kwetu sisi ambao sote ni Weusi na tunaoana sisi kwa sisi bado hatuko serious na vimisemo kama Ktanda hakizai haramu.

Hii ni misemo ya jamii isyozingatia mustakabali wa maisha yao na kuhendekeza uhuni, kuzaa hovyo hovyo na maadili mabovu.
Kabisa
Pia kuacha punyeto
 
Nimeishi kwenye jamii za Hawa watu Takriban miaka 8 sasa. Nimefanya nao kazi za Maofsini na za Nje ya ofisi yaani za kijamii na Uchumi.

Pamoja na changamoto nilizoona ktk familia zao na mfumo mzima wa maisha yao lakini bado kuna nafuu sana ukilinganisha na ya kwetu sisi watu weusi.

Hizi jamii mbili ziko serious sana na Swala la Kifamilia, Ukoo na Generation( geneology).

Hawana masihara hata kidogo na hivyo imepelekea wanafanikiwa kifamilia, kiuchumi na hata mataifa yao.

Hawapendi kuchanganya.
Hawahendekezi hisia bali wanatanguliza Akili.

Muhindi au Mwarabu Babu wa Babu yake amezaliwa Tanzania lakini bado Vitukuu vyake haviko tayari kuchanganya Damu. Ikitokea basi ni bahati mbaya sana kwa upande wao.

Mimi naunga mkono mira na desturi zao

Tufika mahali tuache ujanja ujanja kwenye Mambo Muhimu ya Kifamilia.

Mfano mwingine Israeli kokote unakozaa mtoto lazima apimwe DNA kwanza ujua kama Myahudi.

Kama hauko serious kwenye swala la familia utakuwa serious kwenye Nini?

Wahindi na Warabu wamejizatiti hakuna kuzaa hovyo hovyo na mtu mweusi kwa sababu watu weusi hawajali mstakabali wa Maisha yao.

Kwa Muhindi utaoa au kuolewa tu na yule ambaye familia imeridhia uwe unampenda au humpendi lazima utii Wazazi.

Na kwakweli tunaona wanafanikiwa sana kwenye maswala ya kifamilia na Uchumi Pia.

Kwetu sisi ambao sote ni Weusi na tunaoana sisi kwa sisi bado hatuko serious na vimisemo kama Ktanda hakizai haramu.

Hii ni misemo ya jamii isyozingatia mustakabali wa maisha yao na kuhendekeza uhuni, kuzaa hovyo hovyo na maadili mabovu.
si tumeshakubaliana sisi weusi hakuna kitu tunaweza hapa duniani.
 
Ndio maana huwa nasisitiza nidhamu kwenye familia
Dini pia zina mchango mkubwa sana katika maisha ya kila siku yaani mambo yote mazuri na mabaya tumefundishwa ila wengi wako mbali sana na maadili

Duniani nchi nyingi sana zinafuata misingi ya Imani hata far east wako hivyo na hata jirani wasomali ni hivyo hivyo
Tatizo la waafrika wengi ni Imani za kishirikina
Unaamini kabisa kuwa Shangazi yako kakuroga ndio maana huna maendeleo seriously
Yaani fala mmoja kijijini anakuzidi akili na kuku unamuachia?

Kama hakuna nidhamu na upendo katika familia hapo lazima umtafute mchawi?
Waswahili wana roho mbaya na matapeli sana
Ndio maana mpaka vijana wanakataa ndoa kisa wanaona mke anaiba kwa mume anapeleka kwao akijua fika hawa watoto wake ndio mali zao hizo anazochuma baba
 
Jamii makini zote duniani zinaanza na Family level( tie)
Nimeishi kwenye jamii za Hawa watu Takriban miaka 8 sasa. Nimefanya nao kazi za Maofsini na za Nje ya ofisi yaani za kijamii na Uchumi.

Pamoja na changamoto nilizoona ktk familia zao na mfumo mzima wa maisha yao lakini bado kuna nafuu sana ukilinganisha na ya kwetu sisi watu weusi.

Hizi jamii mbili ziko serious sana na Swala la Kifamilia, Ukoo na Generation( geneology).

Hawana masihara hata kidogo na hivyo imepelekea wanafanikiwa kifamilia, kiuchumi na hata mataifa yao.

Hawapendi kuchanganya.
Hawahendekezi hisia bali wanatanguliza Akili.

Muhindi au Mwarabu Babu wa Babu yake amezaliwa Tanzania lakini bado Vitukuu vyake haviko tayari kuchanganya Damu. Ikitokea basi ni bahati mbaya sana kwa upande wao.

Mimi naunga mkono mira na desturi zao

Tufika mahali tuache ujanja ujanja kwenye Mambo Muhimu ya Kifamilia.

Mfano mwingine Israeli kokote unakozaa mtoto lazima apimwe DNA kwanza ujua kama Myahudi.

Kama hauko serious kwenye swala la familia utakuwa serious kwenye Nini?

Wahindi na Warabu wamejizatiti hakuna kuzaa hovyo hovyo na mtu mweusi kwa sababu watu weusi hawajali mstakabali wa Maisha yao.

Kwa Muhindi utaoa au kuolewa tu na yule ambaye familia imeridhia uwe unampenda au humpendi lazima utii Wazazi.

Na kwakweli tunaona wanafanikiwa sana kwenye maswala ya kifamilia na Uchumi Pia.

Kwetu sisi ambao sote ni Weusi na tunaoana sisi kwa sisi bado hatuko serious na vimisemo kama Ktanda hakizai haramu.

Hii ni misemo ya jamii isyozingatia mustakabali wa maisha yao na kuhendekeza uhuni, kuzaa hovyo hovyo na maadili mabovu.
Mbona wazungu wamefanikiwa na hawana hizo mambo za kubaguana?
 
Tunapaswa kusimama kama watanzania. Kifamilia tulishafeli mara baada ya kupata uhuru 61.
98% ya familia za watanzania ni masikini na fukara kupindukia. Mchanganyiko wa damu, kutembea sehemu mbalimbali, kubadili makazi na kujichanganya bila kujali wewe ni msukuma, mnyakyusa, mdigo, mkerewe, muha, mpare au mjita imesaidia sana kwa sasa walau kila familia ina watu wenye unafuu wa kimaisha na ni msaada kwa wazazi na wenzie.
Shule inachangia pia kutokana na kuwa ni sehemu mojawapo inayosaidia kuleta mchanganyiko huo na kufanikisha muingiliano na kujifunza kupitia muingiliano huo lakini sio kwa masomo yanayosomwa.
Tusimamie utanzania wetu na sio ufamilia wetu. Kuna majirani zetu wanapenda sana kuja kuolewa na au kuoa wabongo. Hao ndo tatizo kwa sababu wao ni jamii ya watu wenye roho mbaya sana, wajivuni na ni wenye ubinafsi mwingi.
 
Back
Top Bottom