Ubaguzi ughaibuni

101 East

JF-Expert Member
Feb 25, 2015
1,040
2,121
Leo nta share ka story Kidogo kuhusu UBAGUZI UGHAIBUNI MWAKA 2021 NILIENDA NCHI IITWAYO KYRGYZSTAN Nashangaa nilipendwa na wanawake tupu ila wanaume walikuwa wabaguzi kinoma, Wana wivu na mambo mengi ya ajabu sana Twende kazi

Kusema kweli nchi ile ni nzuri mno kuna wa dada wazuri kama unavyoona warusi na wa Ukraine au wa uzebarkstan yaan ukanda ule acha! Sasa nilipata kazi trip moja ya mwezi Mzima huko nikafikia hotel inaitwa futuro hotel nikaambiwa kwamba hapa bishkek pazuri sana kwa kutembelea

Kusema kweli nilienjoy kuwa eneo hilo maana bishkek Kuna wanawake warembo sana sana yan na walikuwa wakinitania kwamba Mi Mme wao Ila changamoto ili usibughudhiwe Inabidi ama utafte demu wa Kwenda naye kila sehemu ili wengine wasisumbue kukutaka, ubovu wanaume wa kule wajinga Ukipita Njian wanapiga kelele wanaita kwa Jina la dharau, ukipita sehemu wanacheka, wengine wanakuita jina la ajabu linaanza na matamshi na N kwa kirusi Ila nilivumilia, najua kujichanganya sana na watu mi najua kisasi nililipiza wapi

Kuna siku Niko njian naona watu Kama Wanashusha Vioo kwa gari kumbe ni wavulana wakatukana kweli, Ila nikaacha, nashangaa siku moja mhudumu wa hotel anaitwa Sasha akanifuata chumbani naye anataka picha na Mimi nikiwa uchi … nikasema acha upuuzi . Ukiita taxi wakaona ni mweusi wanapitiliza, nashangaa.

Nilienda kituo cha basi nikakaa wee magari yanapitiliza, siku kama nne hayasimami, siku moja nikawa na wengine weupe likasimama, nikagundua kwamba ili gari lisimame lazima nisimame na wengine weupe wa huku, nikiwa mwenyewe niliambulia lift za wa dada kwenye vigari vyao na wakawa wanataka kupiga picha na mimi
Kwenye hotel Kuna zinazokukataa na kusema wako full kisa NIGA ndo unaomba Nafasi, kwenye trein au basi ukiingia wanahama nafasi wanakuacha peke yako kwa siti, nikaenda library moja nikanunua kitabu japo mahudhui ni nyingine ila title ni MY MOTHER TOLD ME MY FATHER WAS MONKEY.

Nikawa nakisoma hicho kitabu kila niingiapo kwa basi au trein Haha wanashangaa, mi kubaguliwa hakukuwai kuniathiri chochote , maeneo mengine nje ya BISHKEK wao walikuwa hawanibagui Ila huko nilikuwa maarufu wakawa wa Naomba picha nilikataa wengine wakawa radhi wazilipie na Wengine wakawa wanataka kulipia nakataa, kuna mmoja anaitwa SAMIRA nam Kumbuka huyo demu aliandika ki proposal kwamba hajawai onjwa au onja mweusi anataka {_____}

Wengine mademu wajinga wanataka picha nao Lakin full body Naked bafuni nikasema acha ujinga.

Imeandikwa na @baryanebanzi

20230720_154356.jpg
 
Wazungu wanaona sisi tuna magonjwa... mwaka 2017 nilikua London nikaingia duka la nguo linaitwa primax kama nakumbuka vizuri, nilipotoka kwenye chumba cha kujaribia nguo mama aliyekua aingie huko akabadili gia angani...they believe tuna TB au kitu fulani Cha hatari
Yaani kwa hilo tu la mama kubadili chumba wewe ukaona umebaguliwa?
Tusi complicate mambo mengine. Mambo ya TB tena? Hizo ni inferiority complex. Huko alikotaja Mwenye post sawa. UK hayo mambo walivuka siku nyingi sana.

Si ajabu Hata wewe Ukiona mtu anatoka hicho chumba unakiacha na kuingia kingine. Kama vyumba hivyo Vipo vingi Kwanini uingie alichotoka mtu mwingine?

Ni sawa na vyooni watu wengi Hawaii hii choo anachotoka mtu mwingine.
 
Yaani kwa hilo tu la mama kubadili chumba wewe ukaona umebaguliwa?
Tusi complicate mambo mengine. Mambo ya TB tena? Hizo ni inferiority complex. Huko alikotaja Mwenye post sawa. UK hayo mambo walivuka siku nyingi sana.

Si ajabu Hata wewe Ukiona mtu anatoka hicho chumba unakiacha na kuingia kingine. Kama vyumba hivyo Vipo vingi Kwanini uingie alichotoka mtu mwingine?

Ni sawa na vyooni watu wengi Hawaii hii choo anachotoka mtu mwingine.
Wana namna fulani ya kudharau mtu mweusi hata kama kuna siti ipo kwenye basi anaweza kusimama kisa umekaa wewe mweusi... Au kuna siku naongea na Simu nikafokewa niache kupiga kelele...labda sio ubaguzi ila wana elements fulani unaona kabisa hawataki interaction na weusi. Hebu fikiria siti ipo atakaa akishuka mweupe ile ya pembeni yako anaipotezea kama vile haoni😄
 
Hii kitu ni noma sana
.
Way back zamani kulikuwa na wazungu wa baptist kutoka USA walikuwa wanakuja Kwa mchungaji flan hivi

Sasa tukiwaona tukiwa uwanjani tunacheza soka ....tunajikusanya then tunaanza kuimba wazungu ... Wazungu ... Wazungu

But mchungaji analikuwa anatukataza kuwa wazungu wanachukisa

But now I understand 7
 
miili ya wazungu ni delicate sana kwenye magonjwa. waafrica tuliozaliwa huku, wengi miili yetu ina immunity nyingi sana bila sisi kujua, immunity ambazo mzungu huwa hana kwasababu mwili wake haujazoea hayo magonjwa. sasa mwafrica unaweza kuwa unaishi na magonjwa mengi tu lakini hauuumwi kwasababu mwili wako una nguvu ya kupambana na vimelea hivyo, ila ukikutana na mzungu ambaye immunity yake ni ndogo au haiko kama wewe unaweza kumwambukiza ugonjwa ambao haujui kama unao ila unao. yapasa tukubaliane na jambo hili. hata hao wazungu ambao huwa wanakuja kuishi huku, trust me, huwa wamejipiga makinga kibao kabla hawajaja na wakiishi huku na hayo makinga kwa kitambo fulani miili yao huwa inadopt na wanakuwa kama sisi. ila akija kichwa kichwa, anakufa chap.

ninachoshangaa ni kwamba, hata hizo nchi za ulaya mashariki zilizokuwa USSR ya zamani ambazo ni masikini bado, nazo zinabagua. unajua ukibaguliwa na mjerumani, muingereza, scandinavian au mmarekani, unaweza kuona pengine inaleta sense, kwasababu hata uchumi amekuzidi. ila unabaguliwa na hao masikini wenzio huko ulaya mashariki, hata hautakiwi kuumia sana, uone umebaguliwa na mtu wa chini yako. watu wa USSR yote ya zamani, nchi za wachina, thailand, japan, malaysia na zingine, huko ambao wameishi bila kuzungukwa na watu weusi, jueni kwamba kwao kitu hicho ni kigeni kabisa, ni sawa na mzungu blond akikamatwa akaenda kutupwa katikati ya kijiji changu kule ambako mzungu atakuwa yeye peke yake, lazima kila mtu atamshangaa, na wanaweza kusema ni albino...watambagua, ni kwa ujinga, hawana awareness na aina ya watu hao. hivyo na wewe wamezaliwa, kama japani kuna watu wanazaliwa hadi wanakuwa watu wazima hawajawahi kukutana na mtu mweusi. mkikutana akianza kukushangaa msamehe tu.
 
Leo nta share ka story Kidogo kuhusu UBAGUZI UGHAIBUNI MWAKA 2021 NILIENDA NCHI IITWAYO KYRGYZSTAN Nashangaa nilipendwa na wanawake tupu ila wanaume walikuwa wabaguzi kinoma, Wana wivu na mambo mengi ya ajabu sana Twende kazi

Kusema kweli nchi ile ni nzuri mno kuna wa dada wazuri kama unavyoona warusi na wa Ukraine au wa uzebarkstan yaan ukanda ule acha! Sasa nilipata kazi trip moja ya mwezi Mzima huko nikafikia hotel inaitwa futuro hotel nikaambiwa kwamba hapa bishkek pazuri sana kwa kutembelea

Kusema kweli nilienjoy kuwa eneo hilo maana bishkek Kuna wanawake warembo sana sana yan na walikuwa wakinitania kwamba Mi Mme wao Ila changamoto ili usibughudhiwe Inabidi ama utafte demu wa Kwenda naye kila sehemu ili wengine wasisumbue kukutaka, ubovu wanaume wa kule wajinga Ukipita Njian wanapiga kelele wanaita kwa Jina la dharau, ukipita sehemu wanacheka, wengine wanakuita jina la ajabu linaanza na matamshi na N kwa kirusi Ila nilivumilia, najua kujichanganya sana na watu mi najua kisasi nililipiza wapi

Kuna siku Niko njian naona watu Kama Wanashusha Vioo kwa gari kumbe ni wavulana wakatukana kweli, Ila nikaacha, nashangaa siku moja mhudumu wa hotel anaitwa Sasha akanifuata chumbani naye anataka picha na Mimi nikiwa uchi … nikasema acha upuuzi . Ukiita taxi wakaona ni mweusi wanapitiliza, nashangaa.

Nilienda kituo cha basi nikakaa wee magari yanapitiliza, siku kama nne hayasimami, siku moja nikawa na wengine weupe likasimama, nikagundua kwamba ili gari lisimame lazima nisimame na wengine weupe wa huku, nikiwa mwenyewe niliambulia lift za wa dada kwenye vigari vyao na wakawa wanataka kupiga picha na mimi
Kwenye hotel Kuna zinazokukataa na kusema wako full kisa NIGA ndo unaomba Nafasi, kwenye trein au basi ukiingia wanahama nafasi wanakuacha peke yako kwa siti, nikaenda library moja nikanunua kitabu japo mahudhui ni nyingine ila title ni MY MOTHER TOLD ME MY FATHER WAS MONKEY.

Nikawa nakisoma hicho kitabu kila niingiapo kwa basi au trein Haha wanashangaa, mi kubaguliwa hakukuwai kuniathiri chochote , maeneo mengine nje ya BISHKEK wao walikuwa hawanibagui Ila huko nilikuwa maarufu wakawa wa Naomba picha nilikataa wengine wakawa radhi wazilipie na Wengine wakawa wanataka kulipia nakataa, kuna mmoja anaitwa SAMIRA nam Kumbuka huyo demu aliandika ki proposal kwamba hajawai onjwa au onja mweusi anataka {_____}

Wengine mademu wajinga wanataka picha nao Lakin full body Naked bafuni nikasema acha ujinga.

Imeandikwa na @baryanebanzi

View attachment 2694282
Unaonekana ulikua vzuri kwa kilichokupeleka lasivy duh ungepotea
 
miili ya wazungu ni delicate sana kwenye magonjwa. waafrica tuliozaliwa huku, wengi miili yetu ina immunity nyingi sana bila sisi kujua, immunity ambazo mzungu huwa hana kwasababu mwili wake haujazoea hayo magonjwa. sasa mwafrica unaweza kuwa unaishi na magonjwa mengi tu lakini hauuumwi kwasababu mwili wako una nguvu ya kupambana na vimelea hivyo, ila ukikutana na mzungu ambaye immunity yake ni ndogo au haiko kama wewe unaweza kumwambukiza ugonjwa ambao haujui kama unao ila unao. yapasa tukubaliane na jambo hili. hata hao wazungu ambao huwa wanakuja kuishi huku, trust me, huwa wamejipiga makinga kibao kabla hawajaja na wakiishi huku na hayo makinga kwa kitambo fulani miili yao huwa inadopt na wanakuwa kama sisi. ila akija kichwa kichwa, anakufa chap.

ninachoshangaa ni kwamba, hata hizo nchi za ulaya mashariki zilizokuwa USSR ya zamani ambazo ni masikini bado, nazo zinabagua. unajua ukibaguliwa na mjerumani, muingereza, scandinavian au mmarekani, unaweza kuona pengine inaleta sense, kwasababu hata uchumi amekuzidi. ila unabaguliwa na hao masikini wenzio huko ulaya mashariki, hata hautakiwi kuumia sana, uone umebaguliwa na mtu wa chini yako. watu wa USSR yote ya zamani, nchi za wachina, thailand, japan, malaysia na zingine, huko ambao wameishi bila kuzungukwa na watu weusi, jueni kwamba kwao kitu hicho ni kigeni kabisa, ni sawa na mzungu blond akikamatwa akaenda kutupwa katikati ya kijiji changu kule ambako mzungu atakuwa yeye peke yake, lazima kila mtu atamshangaa, na wanaweza kusema ni albino...watambagua, ni kwa ujinga, hawana awareness na aina ya watu hao. hivyo na wewe wamezaliwa, kama japani kuna watu wanazaliwa hadi wanakuwa watu wazima hawajawahi kukutana na mtu mweusi. mkikutana akianza kukushangaa msamehe tu.
Umeeleza vizuri sana mkuu na mimi nahisi hata pia mfumo wao wa elimu wanachofundishwa kuhusu Africa na Waafrika in general ni negatively zaidi tofauti kabisa na sisi tunavyofundishwa kuhusu wao. The world is unfair
 
Back
Top Bottom