Vijana wengi kwa sasa Tanzania wanajichubua kwasababu ya ubaguzi wa kifamilia na kijamii

Jiamini cha ujinga oga vizuri kula vizuri paka mafuta mazuri tutakuita bak biuti ebooo wewe vipiiii!!! Tena mademu blak wako hot sana aiseee
 
Halafu ungejua wanaume weupe wengi hua kwa wanawake mnaonekana watoto wa mama, majitu meusi kama mimi hua tunaambiwa tumekaa kiume , wanawake walio wengi japo sio wote walionekana kupenda rangi nyeusi kikubwa uwe nadhifu tu, mazoezi kiaina hapo kwisha kazi
Kunywa apple punch nakuja lipa
 
Ndo mnavyojipaga moyo hivyo ila hata ujifariji ukweli upo pale pale mwanaume mweupe anapendwa sana na wanawake na ndo maana mwanaume mweupe akimtongoza msichana mweusi huyo msichana anakuwa haamini kama kweli ni yeye amepata bahati yakutongozwa.

Ukweli upo wazi wanaume weusi hawajiamini ndo maana wanajikoboa kila siku wawe angalau na kaweupe fulani avutie wasichana.
Heeee !!! Yani yan kumbe mambo yako hivyo!??duu
 
Ipo hiv labd hamuelewi percent kubwa ya madem weupe hupenda black men ..binafc me ni mweusi japo sio cheus mangala lakin madem weupe huja kama mvua na bad sina pesa ..
 
Hao wadada wanaojichubua huwa nahisi asilimia kubwa wana mdudu. Tena mashavu yakishaanza kubadilika rangi kuwa meusi natema kabisa na mate chini .
Kwa wanaume ndio sitaki kabisa kuongelea
 
Ndo mnavyojipaga moyo hivyo ila hata ujifariji ukweli upo pale pale mwanaume mweupe anapendwa sana na wanawake na ndo maana mwanaume mweupe akimtongoza msichana mweusi huyo msichana anakuwa haamini kama kweli ni yeye amepata bahati yakutongozwa.

Ukweli upo wazi wanaume weusi hawajiamini ndo maana wanajikoboa kila siku wawe angalau na kaweupe fulani avutie wasichana.
Aisee ila sisi weupeee naona kama tunazeeeka haraka sana halafu ukiwa lofa ndio daaaa hatari
 
Hao wanaume weusi wenyewe wanasema kwa rangi zao kuoata mademu wakali tena weupe ni ngumu mno ndo maana ili mwanaume mweusi amiliki demu mzuri lazima apambane sana apate hela ili iwe kama kivutio.

Lakini kwa mwanaume mweupe hahitaji ulazima wa pesa kumiliki demu mkali anachohitaji ni weupe wake tu kuwagonganisha warembo.

Ukweli uachwe kuwa hivyo maana kujifariji kwakuwa umeumbwa mweusi wala haitabadili ukweli.
Aisee wewe unatatizo sio bure
 
Ndo mnavyojipaga moyo hivyo ila hata ujifariji ukweli upo pale pale mwanaume mweupe anapendwa sana na wanawake na ndo maana mwanaume mweupe akimtongoza msichana mweusi huyo msichana anakuwa haamini kama kweli ni yeye amepata bahati yakutongozwa.

Ukweli upo wazi wanaume weusi hawajiamini ndo maana wanajikoboa kila siku wawe angalau na kaweupe fulani avutie wasichana.
Sijawahi kuona mwanaume mweusi aiyejiamini labda wewe peke yako. Wanaume kwanza hata huwa hawajali rangi zao labda kama upo under 25 yrs
 
Daima kitu kizuri ndo kinachosifiwa.

Unakuwa na mwanaume ana sura ngumu hadi ukipita nae mbele za watu wanashangaa nakucheka kwamba huyu mwanamke alikosa nini hadibakawa na mwanaume kama huyu.
Aisee wewe ni jinsia gani!?? Samahani lakini
 
Mimi huwa sijielewi ni mweusi au mweupe kwanza kwa mwaka naweza nikajiangalia kwenye kioo mara 4 tu tena itokee bahat mbaya tu nikiwa nimepewa lift kwenye gari ya mtu alaf itokee nikagongana macho na side mirror za gari ndo najiona siku nyingine nakua mweupe sana siku nyingine maji ya kunde ila maji ya kunde huwa nikijiangalia kwenye vioo vya madirisha ya nyumba wakat napita ndo najiona kama black flani hivi
 
Back
Top Bottom