road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,064
- 3,011
Jiamini cha ujinga oga vizuri kula vizuri paka mafuta mazuri tutakuita bak biuti ebooo wewe vipiiii!!! Tena mademu blak wako hot sana aiseee
Hata mm blak nawalabua sana hao mawhiteAsa wanawake wengi wanavutiwa na wanaume weusi,
Mim ni mweusi, hayo manenu ya ubaguz yapo sana ila huwa sijali wala nini na madem wamekuwa wakinipa mbunye since grade one
Kunywa apple punch nakuja lipaHalafu ungejua wanaume weupe wengi hua kwa wanawake mnaonekana watoto wa mama, majitu meusi kama mimi hua tunaambiwa tumekaa kiume , wanawake walio wengi japo sio wote walionekana kupenda rangi nyeusi kikubwa uwe nadhifu tu, mazoezi kiaina hapo kwisha kazi
Heeee !!! Yani yan kumbe mambo yako hivyo!??duuNdo mnavyojipaga moyo hivyo ila hata ujifariji ukweli upo pale pale mwanaume mweupe anapendwa sana na wanawake na ndo maana mwanaume mweupe akimtongoza msichana mweusi huyo msichana anakuwa haamini kama kweli ni yeye amepata bahati yakutongozwa.
Ukweli upo wazi wanaume weusi hawajiamini ndo maana wanajikoboa kila siku wawe angalau na kaweupe fulani avutie wasichana.
Kauli siipendi hiicha msingi ela tu ayoo maneno ni kwa watu ambao hawana ela .
Aisee ila sisi weupeee naona kama tunazeeeka haraka sana halafu ukiwa lofa ndio daaaa hatariNdo mnavyojipaga moyo hivyo ila hata ujifariji ukweli upo pale pale mwanaume mweupe anapendwa sana na wanawake na ndo maana mwanaume mweupe akimtongoza msichana mweusi huyo msichana anakuwa haamini kama kweli ni yeye amepata bahati yakutongozwa.
Ukweli upo wazi wanaume weusi hawajiamini ndo maana wanajikoboa kila siku wawe angalau na kaweupe fulani avutie wasichana.
Aisee wewe unatatizo sio bureHao wanaume weusi wenyewe wanasema kwa rangi zao kuoata mademu wakali tena weupe ni ngumu mno ndo maana ili mwanaume mweusi amiliki demu mzuri lazima apambane sana apate hela ili iwe kama kivutio.
Lakini kwa mwanaume mweupe hahitaji ulazima wa pesa kumiliki demu mkali anachohitaji ni weupe wake tu kuwagonganisha warembo.
Ukweli uachwe kuwa hivyo maana kujifariji kwakuwa umeumbwa mweusi wala haitabadili ukweli.
Sijawahi kuona mwanaume mweusi aiyejiamini labda wewe peke yako. Wanaume kwanza hata huwa hawajali rangi zao labda kama upo under 25 yrsNdo mnavyojipaga moyo hivyo ila hata ujifariji ukweli upo pale pale mwanaume mweupe anapendwa sana na wanawake na ndo maana mwanaume mweupe akimtongoza msichana mweusi huyo msichana anakuwa haamini kama kweli ni yeye amepata bahati yakutongozwa.
Ukweli upo wazi wanaume weusi hawajiamini ndo maana wanajikoboa kila siku wawe angalau na kaweupe fulani avutie wasichana.
Aisee wewe ni jinsia gani!?? Samahani lakiniDaima kitu kizuri ndo kinachosifiwa.
Unakuwa na mwanaume ana sura ngumu hadi ukipita nae mbele za watu wanashangaa nakucheka kwamba huyu mwanamke alikosa nini hadibakawa na mwanaume kama huyu.
Hivi weusi ni ubaya!?? Au weupe ni uzuri!?? Nyie watu wawapi!??hebu njoo nairob waone wanawake weusi walivyo !!!
Anazungumzia slay queens manake ndo wamejaa mijiniUmesoma na kuelewa? Au ndo mkurupuko
Hahahaaa.lakini alichonikwot ni tofauti kbs...alijua mm men tena blakAnazungumzia slay queens manake ndo wamejaa mijini