Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 9,370
- 34,569
Naunga mkono hoja
Hawana ladha.
Naunga mkono hoja
Hawana ladha.
Daima kitu kizuri ndo kinachosifiwa.Ajabu sana mwanaumr kujisifia mzuri
Nilikuwa nae mmoja Mwarabu yule hana maajabu kivile bora cheusi mangala wangu ni Mwanaume mwenye Uwanaume ndani yake ❤️📌📌📌 tena bora wawe na hela ..atleast..
Wanaringa balaa
Kuwa mbaya nayo ni sifa kumbe? Kila mwanamke anatamani apate mwanaume mwenye muonekano mzuri amabaye atapita nae hata mbele za umma.Ajabu sana mwanaumr kujisifia mzuri
Tembea uone aise!Kuwa mbaya nayo ni sifa kumbe? Kila mwanamke anatamani apate mwanaume mwenye muonekano mzuri amabaye atapita nae hata mbele za umma.
Wanaume hao lazima wawe weupe ndo wenye mvuto unatembea naye huku unajiamini kabisa mwanamke kwamba hapa umepata mwanaume.
Mie too nna experience nao walaa..kazi kulamba tu lips na wknd kwenda kufanya scrubNilikuwa nae mmoja Mwarabu yule hana maajabu kivile bora cheusi mangala wangu ni Mwanaume mwenye Uwanaume ndani yake ❤️
Sasa hao ndo watraamu kunako..on top wengi huwa wana mifweza🥵Daima kitu kizuri ndo kinachosifiwa.
Unakuwa na mwanaume ana sura ngumu hadi ukipita nae mbele za watu wanashangaa nakucheka kwamba huyu mwanamke alikosa nini hadibakawa na mwanaume kama huyu.
Hapo mwarabu aliona unamletea kimavi tu maana yeye mweupe halafu iweje apate mwanamke ambaye ni mweusi ni kama kujishushia hadhi kwakweli.Nilikuwa nae mmoja Mwarabu yule hana maajabu kivile bora cheusi mangala wangu ni Mwanaume mwenye Uwanaume ndani yake
Yaani akinipigia simu tukutane najua story zitakazo endelea huko ni fulani ana nipenda dear kunasiku nilimjibu vibaya wanajikuta nani sijui hasa wakiwa na pesa za kubadilisha mbogaMie too nna experience nao walaa..kazi kulamba tu lips na wknd kwenda kufanya scrub
Uzuri hawanaga hela zile za maajabu...la sivyo tungekoma mno!Yaani akinipigia simu tukutane najua story zitakazo endelea huko ni fulani ana nipenda dear kunasiku nilimjibu vibaya wanajikuta nani sijui hasa wakiwa na pesa za kubadilisha mboga
Kimavi yule ex ana nipenda mbaya nilimpiga matukio mpaka akanyoosha mikono 🙌Hapo mwarabu aliona unamletea kimavi tu maana yeye mweupe halafu iweje apate mwanamke ambaye ni mweusi ni kama kujishushia hadhi kwakweli.
Hili la kutokujiamini ni tatizo kubwa sana kwa jamii yote ya Tanzania. Unakuta mtu hataki au hana hobby ya kitu fulani lakini analazimisha kuiga wengine ili asichekwe na kuambiwa mshamba. Hili tatizo linaleta tatizo jingine la watu kuwa kama yule mnyama nyumbu i.e. kufuata mkumbo.Vijana wengi hawajiamini na kingine kuigaiga mambo
Sent from my VFD 200 using JamiiForums mobile app
Daima kitu kizuri ndo kinachosifiwa.
Unakuwa na mwanaume ana sura ngumu hadi ukipita nae mbele za watu wanashangaa nakucheka kwamba huyu mwanamke alikosa nini hadibakawa na mwanaume kama huyu.
Tembea uone aise!
Mnakutana na machoko ya Dar mnaita wanaume.Mie too nna experience nao walaa..kazi kulamba tu lips na wknd kwenda kufanya scrub
Ni weupe upi wa ngozi unaozungumziwa hapa.maana kuna wazungu,kuna weupe wa huku uswahilini. Which is which?Kwanza mwanaume unakuwaje mweupe
Nadhani kila mtu na anachopenda. Binafsi siwakubali wanaume weupe.Na wale wasiojiamini sasa ndo wanaponda wanaume weupe. Wanaume weupe wana mvuto flani kwa wanawake. Na wanawake wanaamini pamoja watazaa watoto weupe pia.
Come, let's bet! Am blackHao wanaume weusi wenyewe wanasema kwa rangi zao kuoata mademu wakali tena weupe ni ngumu mno ndo maana ili mwanaume mweusi amiliki demu mzuri lazima apambane sana apate hela ili iwe kama kivutio.
Lakini kwa mwanaume mweupe hahitaji ulazima wa pesa kumiliki demu mkali anachohitaji ni weupe wake tu kuwagonganisha warembo.
Ukweli uachwe kuwa hivyo maana kujifariji kwakuwa umeumbwa mweusi wala haitabadili ukweli.