Vifo vilivyoniumiza JF

Vifo vilivyoniumiza JF

Warumi.
Ni zaidi ya rafikii, zaidi ya mtu wa karibu, zaidi ya jiranii, nimekumbuka those days, alikua anakuja Main campus ananichukua ananipeleka maeneo ya kujidai, alikua ananifanya nifurahie uwepo wake kila akiwa karibu yangu, zaidi nilikua napenda mchezo wetu wa kuendesha Gari kwa kufukuzana. Toka aniache mpweke hata road ya Bagamoyo sipiti mara kwa mara tena.

Endelea kupumzika salama Kipenzii. 😭😭😭

Valentine.
Huyu Dada tulijuana humu humu ndani kupitia uzi wa selfika, thou akaja PM tukawa marafiki, kupeana ubuyu na umbea wa hapa na pale, tulikutana siku hiyo alitaka nimsindikize sehemu, tukakutana na nili msindikiza huko, ilikua moment nzuri kwetu, na baada ya hapo tulikua tunakutana mara kwa mara.

Pumzika salama Baby Vals, 😢😢😢
 
Back
Top Bottom