Vifo vilivyoniumiza JF

Vifo vilivyoniumiza JF

Hukuogopa kukutana na watu wa humu jamiiforums? Au unawafanyia vetting kwanza ndio mkutane physically? Jamiiforums wewe ni mmoja wa watu tunaokosoa mashetani ya kijani na wewe ni maarufu sana huogopi kumafweliwa na mafwele? Binafsi naogopa sana watu wa humu japo nawapenda sanah hasa wanaharakati wenzangu.
Yap! Wasiwasi ndio akili mkuu😂🤣😂🤣
 
Back
Top Bottom