Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,960
- 95,284
Zanzibar wenzetu wapo dunia nyingine ,hasa huwaga najiuliza inakuwaje wenzetu bei zao za mfano simu, laptops, fridge na electronics Kwa jumla wanauza Kwa bei mzuri kuliko huku kwetu.Zanzibar lazima ilindwe, otherwise Wazanzibar watamezwa.
Ukiamuwa kuwa mkweli wa nafsi yako kero za muungano usizijadili kwa mihemko, mimi kwanza ningependa Wazanzibar tuwape uhuru wao tunadumaza maendeleo yao.
Zanzibar nje ya muungano hata Dubai tutakuwa hatuendi tunamaliza mambo yetu Zanziba.
Machogo tunawafukarisha Wazanzibar kwa manufaa ya ccm.