The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,258
- 17,454
damu mumwage nyie halafu lawama tupate sisi! punde si punde mtaumbuka na ni lazima muipate fresh mwaka huu. haiwezekani chama kinalea magaidi, mnapoteza maisha ya watu na wengine wanabaki vilema halafu tuwachekelee tu. tutapambana humu jf na polisi watapambana nanyi huko nje
mkuu hawa wanafiki wanawafanya watu hawanaakili vitu walivyoonesha hapo haviendani na uhalisia hata kidogo sijui wanamdanganya nani.
Kweli tanzania tuna ombwe............... inawezekana kabisa 50 % ya population ni matahahira lakini hatujui. No wonder division zero zinaongezeka kila kukicha. Labda dona la njano na bulga za miaka ya 70 na 80 zilikuwa na kitu ndani yake.
Ni Tanzania tu ndiyo tunaweza kupata hizi design za watu kama nyinyi kwa wingi!!