Kwa kweli mwili wote umekufa ganzi. Hata kazi haziendi! Naamini kuna namna Mwenyezi Mungu atalipa!Pole mkuu, ndpo binadamu 2lpofikia, ni bora ukumbane na simba kuliko mwanadamu
Kwa kweli mwili wote umekufa ganzi. Hata kazi haziendi! Naamini kuna namna Mwenyezi Mungu atalipa!Pole mkuu, ndpo binadamu 2lpofikia, ni bora ukumbane na simba kuliko mwanadamu
uhai ni uhai mkuu, hakuna mtoto wala mtu mzima!
Salary Slip, Nambalapala, Mwigulu, Ritz, Lilambo, Lizaboni, Chriss Lukosi, Nape, Mwampamba, Juliana Shonza na wengine.... endeleeni kuwatetea hao wanaowatuma na mnaowaita wasikivu, lakini damu iliyomwagika itakuwa juu yenu na vizazi vyenu
Lakini katika mkusanyiko kama huo watoto wako kwenye risk ya kupoteza uhai wao.
Children are vulnerable na wakati wa vurumai kama hiyo hakuna atakayemjali mtoto.
Wataishia kukanyagwa kanyagwa tuu.
wapi sasa alipovuliwa nguo. mbona hiyo video haina kitu kipya. tunataka watuonyeshe wapi video imewonyesha polisi akirusha hilo bomu na jinsi polisi walivyomtorosha mrusha bomu
kiukweli sasa nadhan ukweli unaweza julikana kwa kumpata muhusika aliyerusha bomu hilo binafsi nasikitika kuona watu wasiokua na hatia wanaangamia kwa maslahi ya watu wachache poleni sana wana Arushatunataka hasa inayohusu hapo blue kwani ndiyo itakata mzizi wa fitina na vilimilimi vya baadhi yetu
wapi sasa alipovuliwa nguo. Mbona hiyo video haina kitu kipya. Tunataka watuonyeshe wapi video imewonyesha polisi akirusha hilo bomu na jinsi polisi walivyomtorosha mrusha bomu
Mwigulu aliporudi kutoka China huku amefuga mindevu bila mpangilio, ndani ya moyo wangu ukawa unanieleza kua huyu mtu SI binadamu tena. Kuna kitu cha kikatili sana huyu mtu alienda kujifunza huko China, na hii yote ni muendelezo wa mipango yake ya kijinga.
Baada ya kuona ishu ya Lwakatare imeenda mrama, sasa ameamua kuua kabisa. Mwigulu SI binadamu tena....