UNDENIABLE
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 2,326
- 1,314
Haya bhana! najiuliza wamestahili kujeruhiwa na kufa kisa madaraka ya kisiasa au kuna kingine????
Tumekuwa tukihoji hapa kwa nini watoto wadogo wanakuwa kwenye mikutano ya hadhara ya kisiasa. It is worth?
Maana katika sehemu za mikusanyikao mikubwa kama hiyi, watoto wako kwenye hatari zaidi hasa kukitokea purukushani ya aina hiyo.
Hata hivyo, aliyetupa hilo bomu, akimwona huyo mtoto alivyoumia sijui atasemaje?
Dhumuni lake hasa lilikuwa ni kumdhuru mtoto kama huyo?
I am speechless but crying!!! ..........WHYYYY????
Tumekuwa tukihoji hapa kwa nini watoto wadogo wanakuwa kwenye mikutano ya hadhara ya kisiasa. It is worth?
Maana katika sehemu za mikusanyikao mikubwa kama hiyi, watoto wako kwenye hatari zaidi hasa kukitokea purukushani ya aina hiyo.
Hata hivyo, aliyetupa hilo bomu, akimwona huyo mtoto alivyoumia sijui atasemaje?
Dhumuni lake hasa lilikuwa ni kumdhuru mtoto kama huyo?
Ndiyo maana sasa wameanza kunyoosha kauli zao. Unajua CHAGONJA alidhani kuwa Mh. Mbowe anapiga blabla za politics ndiyo maana akampiga mkwara. Sasa tumuulize tena bado anautaka ushahidi??? Na hapa sasa Mh. Lukuvi ndiyo anaanza kuvuliwa nguo yeye na serikali yetu tukufu.