VIDEO: Mlipuko wa Bomu Arusha - Sehemu ya Kwanza...

VIDEO: Mlipuko wa Bomu Arusha - Sehemu ya Kwanza...

Kwa hiyo, una-suggest nini? Kwa vile watoto ni vulnerable kama wanawake basi wawe wanahudhria kwenye mikutano ya hadhara ya kisiasa kwa wingi?
.

La hasha! Nina-suggest kuwa hata wanawake WASIWE wanahudhuria mikutano ya hadhara ya kisiasa (hasa ya CDM) na ile ya makanisani.. If you know what I amean.
Ni toka lini mikusanyiko hiyo niliyoitaja imeanza kuwa maeneo hatarishi? Je kundi gani laweza kuwa salama kwenye makusanyiko kama hayo ikiwa matishio sasa ni mabomu na risasi za moto? Je kuna haja ya kuwa na hayo makusanyiko anyway (are they worthy vifo na vilema hivi)?
 
Hii ndio faida ya mkuu wa nchi kulindwa na majeshi ya mapepo!! Hana chembe ya Umungu hata kidogo!!!! Hili ni agizo lake!!
 
Haya ndiyo matokeo ya mkuu wa nchi kulindwa na majeshi ya mapepo!! Hana chembe ya Umungu hata kidogo!!!! Hili ni agizo lake!!
 
Mungu wangu, hii yoote kuwatisha watu wasiende kwenye mikutano ya wapinzani, ikiwezekana CCM iendelee kuwa madarakani, kwani wakiondolewa, siri zoote zitakuwa wazi kwa mfano:-

1. Kifo cha Sokoine hakitakuwa fumbo tena.
2. Kifo cha Holace kolimba wahusika watafahamika na wananchi watajua ni nani aliyewatuma wafanye mauaji yale.
3. Kifo cha Imrani Kombe kitaangaliwa upya, na kutakuwa na fursa ya kohoji kwanini wauaji waliachiwa huru na kwa maslahi ya nani
4. Ufisadi wa melemeta utahojiwa, kupata ukweli kama kweli ulikuwa ni mradi wa Usalama wa Taifa na kama kweli Usalama wa Taifa wanafanya biashara.
5. Kutakuwa na fursa ya kuwabana wale wezi wa Pesa za EPA ambao walisamehewa na Kikwete na kuwaomba warudishe ilihali, kuna watu wamebainika kuiba Baiskeli wanaozea jera.
6. Kutakuwa na fursa ya kujua kama kweli Pesa ya EPA imerudishwa yoote au ilikuwa ni funika Kombe Chadema ipite.
7. Kutakuwa na fursa za kuhoji uhusika wa Kikwete katika ishu ya Richmond, japo Lowassa alitaka kutudokeza lakini alisita.

.
.
.
.
.
.
.
.
6548. Kutakuwa na fursa ya kujua kuna siri gani ya kuendelea na watu kama akina Kamuhanda japo ametajwa katika mauaji ya Songea na Iringa?

6549. Itafahamika kama Balali alifariki kweli au yupo hai, na kama yupo hai kwanini afichwe?

Mkuu umenikumbusha ubaya wote wa CCM. Ni lini MUNGU atakiua hiki chama cha mauaji?
 
Jesus , OMG. Hii nini tena lol, ooh no . Why all this is happening. Jesus have mercy
 
hivi hwa waliofanya hivi wanapoona hivi wanajisikiaje? je wanafurahi, wanjisifu, wanahuzunika au wanakuawaje. Mi naamini kitu kimoja tu " hawa hAwana amani mpaka milele na mwaka huu hautaisha kabla hawajaenda wenyewe kutubu mbele ya CHADEMA" NA Mungu wa ukweli.Amina.
 
Naililia amani ya nchi yangu, kwa kweli inaumiza kuona jinsi maisha ya wenzetu yalivyokatishwa kikatili, walaaniwe waliofanya ukatili huo na ilaa niwe CCM chini ya uongozi wake kwa kuyaruhusu haya,kama chama kinachoongoza dola kimeshindwa kuyadhibiti haya,poor ccm


Tahadhari: Tafadhali fungua ukiwa mbali na watoto kwa kuwa kuwa ni video ya kikatili


WANAJF,

Video hii ni sehemu ya kwanza tu inayoonyesha kabla na baada ya bomu kulipuka hali ilivyokua bila kuonyesha ni nani aliyelipua.Ni video ya dakika 4:19.Hivi ndivyo maisha ya watanzania wenzetu yalivyokatishwa kikatili.



Bomu Arusha Mkutano ChademA 15 JUNE - YouTube
 
Last edited by a moderator:
Hizi habari za mungu atawahukumu zinapaswa kuanza kuondoka na kufutika vichwani mwetu, hawa si binadamu wenzetu wanao architect huu ujinga? If that is the case wanaishi tusipoweza kuwafikia? Je ulimwengu huu ulivyo kwa sasa nikiamua kupata siraha haramu hata Kama ni AK 47 naweza shindwa kuipata na kutekeleza unyama kwa hawa wajinga kina Nape, Mwigulu na wengineo? Are they think are safe? Wamejiamini kiasi gani hasa kuweza kuwa na authority juu ya maisha ya poor and innocent people? Nasema the end will justify the means, huwezi kupoteza maisha ya watu kwa siasa za kipuuzi na Kijinga namna hii, kwa maslahi ya nani na ya taifa lipi? Naomba pelekeni salama kwa hawa vijana waliojidanganya kwamba wana hati miliki ya nchi hii, kwamba muda wao haupo mbali sana hata kidogo.....salamu kwa vitendo zitawafikia tu, hata Kama si Leo wala kesho, haya maumivu wanayopata binadamu, na Watanzania wenzao soon yatawafikia tu.

Leo hii rais Hosni Mubaraka yupo ndani
Ghadafi is dead
Idd Amin hakikadharika
Ben Alli yupo uhamishoni Saudia na wengine weeeengi tu, sasa wao ni kina nani?
 
Lah..kweli tumefika mbali!!!!na ni dhahiri mwisho wao umekaribia...!!
 
CHADEMA kimepewa mafunzo na ushauri kutoka nje ya nchi kuwa kikitumia baadhi ya watumishi wa vyombo vya dola wasiokuwa waaminifu kuteka, kuumiza na hata kuua baadhi ya watu maarufu nchini wakiwamo waandishi na wanasiasa, basi wananchi wataamini kuwa Chama Cha Mapinduzi na Serikali yake kimeshindwa uongozi na sasa kimeanza kazi ya kuua wanaowapinga.

Kwa njia hiyo, inaelezwa kuwa hesabu za Chadema ni kuwa wananchi wataichukia CCM na Serikali yake na kukipa nafasi ya kuingia madarakani. Hapa kauli ya Chadema kuwa NCHI HAITATAWALIKA itakuwa imetimia.
 
La hasha! Nina-suggest kuwa hata wanawake WASIWE wanahudhuria mikutano ya hadhara ya kisiasa (hasa ya CDM) na ile ya makanisani.. If you know what I amean.

If that is your view regardless of what you mean. Kuhusu makanisani huwa hawafanyi mikutano ya hadhara bali wanafanya ibada.

Ni toka lini mikusanyiko hiyo niliyoitaja imeanza kuwa maeneo hatarishi?

Huwa unasubiri kwanza tatizo litokee ili utafute solution? Wakati watu wakisema kuwa Tanzania hakuna tena amani, wewe ulikuwa unadhani wanamaanisha nini hasa? Some saw this coming ages ago. Others are not even surprised with what happened in Arusha.

Je kundi gani laweza kuwa salama kwenye makusanyiko kama hayo ikiwa matishio sasa ni mabomu na risasi za moto?

Everyone regardless of gender or age is entitled to security whether wakiwa kwenye mkusanyiko or popote pale. Whether or not kuna matishio ya mabomu na risasi za moto does not remove the naked fact that children are more vulnerable. Hata kama kilichotokea kingekuwa ni natural disaster, it is likely that watoto waliokuwa pale wangekuwa kwenye risk zaidi.

Je kuna haja ya kuwa na hayo makusanyiko anyway (are they worthy vifo na vilema hivi)?

In fact kwangu, naona mikutano ya hadhara ya kisiasa imepitwa na wakati. Watu kibao kwenye hiyo mikutano lakini wanaopiga kura ni wachache. Piga mahesabu idadi ya watu waliohudhuria mikutano ya hadhara katika uchaguzi wa mwaka 2010 na waliopiga kura.

Mikutano ya hadhara ilikuwa ni ya CCM, ambapo wanaleta mpaka wanamuzi kutumbuiza. Walikuwa mpaka na bendi yao ya TOT. Vyama vya vingine vya siasa vimekopi na kupaste tuu bila kuangalia how effective the method is katika kuwa-engage watu na kuhakikisha wanapiga kura.

Kama ukiangalia kwenye hiyo video bomu lilipotupwa na kulipuka watu wengi pale hawakujua kilichotokea kutokana na mziki mkubwa uliokuwa unapigwa. Hata baada ya bomu kulipika, mziki uliendelea kupigwa as if nothing happened mpaka ulipozimwa baadae na wananchi kuambiwa wakimbie.

They need to be creative in finding other ways of how to engage people. Unless kuna ulinzi na usalama wa kutosha, siasa za majukwaani hazina tija. Hakuna cha maana tunacho-gain kwenye hii mikutano zaidi ya chokochoko za kisiasa, siasa za majitaka, majibizano yasiyokuwa na tija na kulaumiana, and probably vifo sasa.

Anyway inawezekana ndiyo utamaduni wetu, but how effective is these mikutano ya hadhara? How do you assess kama mkutano wa hadhara ulikuwa na mafanikio? Kwa kuangalia idadi ya wahudhuriaji? Kuzomewa au kushangiliwa? Kuhudhuriwa na watoto wengi? Au kugawa na kurudishwa kwa kadi?

Ni wakina nani hasa wanaohudhuria kwenye hiyo mikutano kama siyo wale wale wafuasi wa chama kinachoendesha huo mkutano? Kwa nini kusiwe na njia nyingine ya kureach out wale ambao bado wako undivided au ni wafuasi wa vyama vingine na kuwapa sera na alternatives?

Sisemi mikutano ya kisiasa ya hadhara haina tija kwa sababu ya yaliyotokea Arusha, bali nimekuwa nikiyasema haya kwa muda mrefu tuu in the context ya kuwa-convert wahudhuriaji wa hiyo mikutano kuwa wapiga kura na hatimaye kukupigia kura.
 
ni lazima sasa watanzania tukomeshe unyama huu!

umeacha kutembea na sumu na sasa mnatembea na mabomu? Bora uendeleekutrembea na sumu maana athari zake ni kwa mtu mmoja ila mabomu mnaangamiza watu wengi. Waoneeni huruma watanzania wenzenu. Nao wanapenda kuishi kama nyie
 
Nimeiona hiyo video wakuu kiukweli inauma umefika wakat wa ccm na serikali yake dhalimu kujua hawa si tembo ambao kinana anawafanya atakavyo, imefika wakati wa KIKWETE KUTOKA MADARAKANI BILA SHURUTISHO, IMMEFIKA WAKATI WA WANANCHI KUJUA HAKI ZAO NA KUZITAFUTA HATA KWA MTUTU
 
if that is your view regardless of what you mean. Kuhusu makanisani huwa hawafanyi mikutano ya hadhara bali wanafanya ibada.



Huwa unasubiri kwanza tatizo litokee ili utafute solution? Wakati watu wakisema kuwa tanzania hakuna tena amani, wewe ulikuwa unadhani wanamaanisha nini hasa? Some saw this coming ages ago. Others are not even surprised with what happened in arusha.



Everyone regardless of gender or age is entitled to security whether wakiwa kwenye mkusanyiko or popote pale. Whether or not kuna matishio ya mabomu na risasi za moto does not remove the naked fact that children are more vulnerable. Hata kama kilichotokea kingekuwa ni natural disaster, it is likely that watoto waliokuwa pale wangekuwa kwenye risk zaidi.



In fact kwangu, naona mikutano ya hadhara ya kisiasa imepitwa na wakati. Watu kibao kwenye hiyo mikutano lakini wanaopiga kura ni wachache. Piga mahesabu idadi ya watu waliohudhuria mikutano ya hadhara katika uchaguzi wa mwaka 2010 na waliopiga kura.

Mikutano ya hadhara ilikuwa ni ya ccm, abapo wanaleta mpaka wanamuzi kutumbuza. Walikuwa mpaka na bendi yao ya tot. Vyama vya vingine vya siasa vimekopi na kupaste tuu bila kuangalia how effective the method is katika kuwa-engage watu na kuhakikisha wanapiga kura.

Kama ukiangalia kwenye hiyo bomu lilipotupwa na kulipuka watu wengi pale hawakujua kilichotokea kutokana ma mziki mkubwa uliokuwa unapigwa. Hata baada ya bomu kulipika, mziki uliendelea kupigwa as if nothing happened mpaka ulipozimwa baadae na wananchi kuambiwa wakimbie.

They need to be creative in finding other ways of how to engage people. Unless kuna ulinzi na usalama wa kutosha, siasa za majukwaani hazina tija. Hakuna cha maana tunacho-gain kwenye hii mikutano zaidi ya chokochoko za kisiasa, siasa za majitaka, majibizano yasiyokuwa na tija na kulaumiana, and probably vifo sasa.

Anyway inawezekana ndiyo utamaduni wetu, but how effective is these mikutano ya hadhara? How do you assess kama mkutano wa hadhara ulikuwa na mafanikio? Kwa kuangalia idadi ya wahudhuriaji? Kuzomewa au kushangiliwa? Kuhudhuriwa na watoto wengi? Au kugawa na kurudishwa kwa kadi?

Ni wakina nani hasa wanaohudhuria kwenye hiyo mikutano kama siyo wale wale wafuasi wa chama kinachoendesha huo mkutano? Kwa nini kusiwe na njia nyingine ya kureach out wale ambao bado wako undivided au ni wafuasi wa vyama vingine na kuwapa sera na alternatives?

Sisemi mikutano ya kisiasa ya hadhara haina tija kwa sababu ya yaliyotokea arusha, bali nimekuwa nikiyasema haya kwa muda mrefu tuu in the context ya kuwa-convert wahudhuriaji wa hiyo mikutano kuwa wapiga kura na hatimaye kukupigia kura.

nakuunga mkono
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Back
Top Bottom