Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
subiri sehemu ya pili usiwe na shaka . Uwe mvumilivu wakati ukifika utaipata bila chenga
hakuna lolote. wameipeleka ujerumani kuiedit. mtaumbuka sana mwaka huu
subiri sehemu ya pili usiwe na shaka . Uwe mvumilivu wakati ukifika utaipata bila chenga
Ben Saanane mbona hutuwekei video yako ya jaribio la kumlisha sumu Zitto kabwe????
so sad
Too sad.....mungu yupo we all believe that. laaaa
Mungu wangu,
inasikitisha sana , …
nimeangalia sina cha kusema ila tu :Mungu uwasamehe kwa kuwa hawajui walitendalo:
Mungu wangu!
tumuombe mungu atusaidie 2 epukane na ili janga
I am speechless but crying!!! ..........WHYYYY????
No no no pls. Jesus Christ ! Huu ni unyama Wa hali ya juu oh my God.
roho inauma sana tena sana-damu iliyomwagika Mwigulu atakuja kuilipia tena hapahapa duniani
Hatari sana...ila mzee mungu hataniwi..
speechless!!!!
TAFADHALI weka onyo unapoweka picha ambazo ziko sensitive kama hizo
hakuna lolote. wameipeleka ujerumani kuiedit. mtaumbuka sana mwaka huu
wapi sasa alipovuliwa nguo. mbona hiyo video haina kitu kipya. tunataka watuonyeshe wapi video imewonyesha polisi akirusha hilo bomu na jinsi polisi walivyomtorosha mrusha bomu
hakuna lolote. wameipeleka ujerumani kuiedit. mtaumbuka sana mwaka huu
watoto walitoka Madrasa au hujafuatilia mchakato mzima.Tumekuwa tukihoji hapa kwa nini watoto wadogo wanakuwa kwenye mikutano ya hadhara ya kisiasa. Is it worth?
Maana katika sehemu za mikusanyikao mikubwa kama hiyi, watoto wako kwenye hatari zaidi hasa kukitokea purukushani ya aina hiyo.
Hata hivyo, aliyetupa hilo bomu, akimwona huyo mtoto alivyoumia sijui atasemaje?
Dhumuni lake hasa lilikuwa ni kumdhuru mtoto kama huyo?
Lakini katika mkusanyiko kama huo watoto wako kwenye risk ya kupoteza uhai wao.
Children are vulnerable na wakati wa vurumai kama hiyo hakuna atakayemjali mtoto.
Wataishia kukanyagwa kanyagwa tuu.
Ben Saanane mbona hutuwekei video yako ya jaribio la kumlisha sumu Zitto kabwe????
Hakuna shaka tena kuwa hii serikali Mungu Aliye hai ATAIKATAA! ebu WATANZANIA WOTE TUUNGANE NA MUNGU ALIYE HAI KUIKATAA SERIKALI YA CCM.
Tahadhari: Tafadhali fungua ukiwa mbali na watoto kwa kuwa kuwa ni video ya kikatili
WANAJF,
Video hii ni sehemu ya kwanza tu inayoonyesha kabla na baada ya bomu kulipuka hali ilivyokua bila kuonyesha ni nani aliyelipua.Ni video ya dakika 4:19.Hivi ndivyo maisha ya watanzania wenzetu yalivyokatishwa kikatili.
Bomu Arusha Mkutano ChademA 15 JUNE - YouTube