Video: Dotto Magari bila ya kujijua amemkosea Tajiri yake Manara

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Wakati akimuongelea Baba Levo kuhusu kupigwa na Harmonize, Dotto Magari akapitiliza na kusema kuwa Baba Levo hana maisha na anaishi kwenye Apartment ya kupanga ghorofani.

Dotto ameyasema hayo bila ya kukumbuka kuwa Tajiri yake Haji Manara nayeye anaishi kama Baba Levo.

ANGALIA VIDEO HAPA
 
Wakati akimuongelea Baba Levo kuhusu kupigwa na Harmonize, Dotto Magari akapitiliza na kusema kuwa Baba Levo hana maisha na anaishi kwenye Apartment ya kupanga ghorofani.

Dotto ameyasema hayo bila ya kukumbuka kuwa Tajiri yake Haji Manara nayeye anaishi kama Baba Levo.

ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2902689
Huyu ndiye nani? Au ndiyo baba levo?
 
Back
Top Bottom