Haji Manara jana alikuwa na ugeni nyumbani kwake toka CloudsTv, na moja ya swali aliloulizwa ni kwanini bado anapanga na ilhali anaonekana ana uwezo mkubwa kifedha.
Haji Manara alijibu,
"Kwani kuna dhambi kupanga apartments? Mimi ni mwajiriwa wa Yanga. Sijawahi kusema Mimi ni tajiri. Naishi life standard ambayo watu wengi hawaiwezi kwa sababu hawajipangii. Mimi sio tajiri kabisa".
ANGALIA VIDEO HAPA
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1
Haji Manara alijibu,
"Kwani kuna dhambi kupanga apartments? Mimi ni mwajiriwa wa Yanga. Sijawahi kusema Mimi ni tajiri. Naishi life standard ambayo watu wengi hawaiwezi kwa sababu hawajipangii. Mimi sio tajiri kabisa".
ANGALIA VIDEO HAPA
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1