Video: Dkt. Mpango arejea ofisini, apokelewa kwa bashasha

Video: Dkt. Mpango arejea ofisini, apokelewa kwa bashasha

Pole sana tunamuombea Mungu azidi kuimarisha afya yake.
ila pia ni wakati muafaka wa kufanya kazi kwa bidii,

hakikisha haki za watu haswa watumishi zilizo kuwa zimekaliwa zinalipwa mara moja, kama vile malimbikizo ya mishahara. haya ni mambo muhimu sana na Mungu atatia baraka kubwa kwako na kwa taifa zima.
 
Kweli - jamaa kachungulia karudi - Hongera kubwa kwake !! Mungu ni mwema azidi kumtumainia yeye tu na kutenda yaliyo mema.

Kuishi kwa Oxyg kwa siku 14 si mchezo, jiulize je ni watanzania wangapi wanaweza kupata access ya oxyg kwa siku walau hata 3. Kwa maneno mengine kuna watu wengi mno wanakufa sababu ya kukosa huduma hii - Sasa Mweshimiwa lifanyie kazi hilo - jitokeze piga makelele uokoe wengine kama wewe Mungu alivyokuokoa.
 
Kweli - jamaa kachungulia karudi - Hongera kubwa kwake !! Mungu ni mwema azidi kumtumainia yeye tu na kutenda yaliyo mema.
Vipi mbona kama umenuna mkuu! Maana ulikuwa unashangilia sana kuumwa kwake
 
Vipi mbona kama umenuna mkuu! Maana ulikuwa unashangilia sana kuumwa kwake
hapana Mungu kamponya ni jambo la kushukuru mno. Na Mungu akitenda basi ana makusudi yake yawezekana karudi ili kuja kujaribu kuwaambia wakubwa zake jambo - tunasuburi.
 
Jamani hawa ex UDSM lecturers mbona wana vuta sana? au ndio matokeo ya zile degree za dada zetu? kuna yule jamaa alipata mkanda wa jeshi akasingizia kalishwa sumu,
 
Aache ujinga, ajikinge awaepushe watumishi wa chini yake... kuficha barakoa (tumeiona mezani hapo) kisa kuogopa Jiwe ni upimbi.
 
Mhe. waziri shukrani yako kwa Mungu ianze kwa kuwalipa malimbikozo ya mishahara watumishi wako, hakika hiyo ni baraka kwako na kwa Taifa letu kwa ujumla. ondoa malalamiko yao na manunguniko.
 
Back
Top Bottom