Juzi nilipita kimara hapo nikakuta wamepanga nyanya katikati ya barabara kabisaJAPOKUWA WATU WANAJIPATIA RIZKI ILA WAMECHAFUA MNO JIJI
Na itokee umezigusa zikaanguka hata kwa bahati mbaya...Juzi nilipita kimara hapo nikakuta wamepanga nyanya katikati ya barabara kabisa
ukanyage sasa uone cha motoJuzi nilipita kimara hapo nikakuta wamepanga nyanya katikati ya barabara kabisa
Duh ikawaje sasa? so katikati ya barabara alikuwa anayauzia magari ?Juzi nilipita kimara hapo nikakuta wamepanga nyanya katikati ya barabara kabisa
Huu ndiyo ukweli mtupuYote yamesababishwa na kufa kwa uchumi wa nchi.Mfano korosho, mbaazi, ufuta,mifugo bei ikiwa nzuri kilimo kikilipa nani awe machinga hali wanunuzi ukufuata shamba.
Kabla ya mwendazake Wakenya walijaa hadi vijijini wakichumbia mazao yaani unapewa advance mazao yakikomaa unamaliziwa cash yako wanavuna mazao yao we unabakia na pesa.Walijaa Mbeya,njombe,iringa, kilimanjaro kwenye ndizi,viazi mviringo,walijaa dodoma iringa rukwa ruvuma kwenye mahindi walijaa pwani tanga kwenye matikitiki,nyanya,mboga nk.Huku wacongo,wazambia wakijaa kanda ya ziwa hadi visiwani wakinunua dagaa, samaki,mabondo,Wasudani Wakenya wakinunua vitunguu,nk Wacomoro, zimbabwe, zambia wakijaa kariakoo kuleta pesa hii ilisaidia Sana watu kubakia sehemu moja kuzalisha.Baada ya sera chakavu za kuwafanya matajiri wawe masikini,na kufunga mipaka,bifu zisizo kichwa majirani zetu wote walipotea hali ikawa ngumu vijijini ikapelekea wimbi la machinga mijini.Pesa zilijaa toka KILA nchi jirani ikapelekea kushamiri kwa bureau de change mijini,thus uliona nyumba za nyasi zikipotea kwa kasi ya 5G nchi nzima Bati zikienea kwa kasi vijijini sababu ya mzunguko mzuri wa pesa kabla ya sera chakavu.
Tukivutia Wawekezaji ajira zitakuwepo,tukifungua mipaka wakulima na wafugaji watauza nje uzalishaji utarejea na idadi ya machinga itapungua mijini.
Anastahili shahada ya juu ya upumbavu.Kuna mpumbavu kasema watahamishiwa chato.
Yote yamesababishwa na kufa kwa uchumi wa nchi.Mfano korosho, mbaazi, ufuta,mifugo bei ikiwa nzuri kilimo kikilipa nani awe machinga hali wanunuzi ukufuata shamba.
Kabla ya mwendazake Wakenya walijaa hadi vijijini wakichumbia mazao yaani unapewa advance mazao yakikomaa unamaliziwa cash yako wanavuna mazao yao we unabakia na pesa.Walijaa Mbeya,njombe,iringa, kilimanjaro kwenye ndizi,viazi mviringo,walijaa dodoma iringa rukwa ruvuma kwenye mahindi walijaa pwani tanga kwenye matikitiki,nyanya,mboga nk.Huku wacongo,wazambia wakijaa kanda ya ziwa hadi visiwani wakinunua dagaa, samaki,mabondo,Wasudani Wakenya wakinunua vitunguu,nk Wacomoro, zimbabwe, zambia wakijaa kariakoo kuleta pesa hii ilisaidia Sana watu kubakia sehemu moja kuzalisha.Baada ya sera chakavu za kuwafanya matajiri wawe masikini,na kufunga mipaka,bifu zisizo kichwa majirani zetu wote walipotea hali ikawa ngumu vijijini ikapelekea wimbi la machinga mijini.Pesa zilijaa toka KILA nchi jirani ikapelekea kushamiri kwa bureau de change mijini,thus uliona nyumba za nyasi zikipotea kwa kasi ya 5G nchi nzima Bati zikienea kwa kasi vijijini sababu ya mzunguko mzuri wa pesa kabla ya sera chakavu.
Tukivutia Wawekezaji ajira zitakuwepo,tukifungua mipaka wakulima na wafugaji watauza nje uzalishaji utarejea na idadi ya machinga itapungua mijini.
Mkuu enzi ya kikwete unapigiwa x leo inakaa miaka na miaka mpk inafutika yenyewe, now jk is back.rejea enzi za kikwete
Kuhusu hili zoez utekelezaj wake sahau kabisa mzee.Naomba hilo zoezi likimalizika Dar lihamie na mwanza pia..
Unapewa kamba ndefu na kuachiwa ujinyonge mwenyewe.Kiberiti cha baruti kavu kinatikiswa!!
Hivi unaweza ukachukua mkopo VICOBA bila kuwa na physical address na collateral ikawa kibanda kilichopo kwenye road reserve?Mzee kuchukuwa mkopo ukaweka kibanda barabarani nisawa kweli! Mimi nashauri hata leo viondolewe,kwanza nikelo kubwa kwa watembea kwa mguu na vilevile ikija kutokea hajari ya gari kuacha njia ndo unaweza kuelewa.Viondolewe safi kabisa
Machinga walikuwa wanapigiwa x inakaa?Mkuu enzi ya kikwete unapigiwa x leo inakaa miaka na miaka mpk inafutika yenyewe, now jk is back.