Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Hawalipi hata sumni.Wanalipa kodi sh ngapi kwa mwezi ?
Hawalipi hata sumni.Wanalipa kodi sh ngapi kwa mwezi ?
Wasiwasi wangu ni baadae hata hizo meza kusema waondoeGari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es Salaam.
--- UPDATE MAY 11, 2021--
Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Jumanne Shauri amewataka wafanyabiashara waliojenga vibanda katikati ya Jiji la Dar es Salaam kuviondoa kabla ya Mei 18, 2021.
Wakati Shauri akieleza hayo, gari lenye spika za matangazo linapita katikati la mitaa ya Jiji hilo likitangaza kuhusu mchakato huo kwamba vibanda havitakiwi kuonekana kando ya barabara.
Akizungumza na Mwananchi Digitial leo Jumanne Mei 11, 2021 Shauri amesema hawajazuia wafanyabiashara kuendelea na shughuli zao, wanachotakiwa kufanya ni kutojenga vibanda na kuwataka wauze bidhaa zao kwenye meza ili wakimaliza iwe rahisi kuziondoa na kuacha maeneo wazi.
Amebainisha kuwa sheria ya mipango miji hairuhusu kujenga vibanda, kuwataka wafanyabiashara hao kutii agizo hilo.
“Mwisho Mei 18 kama ambavyo gari la matangazo linavyotangaza waviondoe vibanda vyao kwa sababu vingine vinajengwa hadi kwenye njia za watembea kwa miguu na barabarani na kuleta adha kwa watumiaji. Wanatakiwa watii sheria bila shuruti waviondoe wenyewe,” amesema Shauri.
MWANANCHI
Huyo mkuu kajichanga kutoa maamuzi, hakuna sheria inayoruhusu kuweka meza ya biashara kando ya barabara, hivyo alipaswa kusema vibanda, meza ni marufuku.Wasiwasi wangu ni baadae hata hizo meza kusema waondoe
No, Sheria ni sawa hakuna ata kuweka izo meza lakini kuna ile kwamba Serikali inawasaidia hawa wafanyabiashara wadogo wadogo ili maisha yaende, kule Zanzibar Dr Shein aliondoa vibanda vyote maeneo ya darajani ambapo ndio eneo mashuhuri la biashara Zanzibar lakini Mwinyi kasema HAPANA watu wamerudi kiasili biashara kirindanda, jambo hili linatoa motisha kwa kiongozi aliye madarakani angalau kupunguza chuki kwa wananchiHuyo mkuu kajichanga kutoa maamuzi, hakuna sheria inayoruhusu kuweka meza ya biashara kando ya barabara, hivyo alipaswa kusema vibanda, meza ni marufuku.
Hawa wenye mamlaka sijui wanakwama wapi?
Kwa hiyo sheria inarusu wananchi hasa wanyonge wazibe njia za waendao kwa miguu, waweke biashara popote watakapo?No, Sheria ni sawa hakuna ata kuweka izo meza lakini kuna ile kwamba Serikali inawasaidia hawa wafanyabiashara wadogo wadogo ili maisha yaende, kule Zanzibar Dr Shein aliondoa vibanda vyote maeneo ya darajani ambapo ndio eneo mashuhuri la biashara Zanzibar lakini Mwinyi kasema HAPANA watu wamerudi kiasili biashara kirindanda, jambo hili linatoa motisha kwa kiongozi aliye madarakani angalau kupunguza chuki kwa wananchi
Ukiona hivyo serikali yenyewe imeshindwa kutoa ajira sasa wananchi lazima watafute namna na wakijaribu kulazimisha ndio yale madhara ambayo ni mabaya zaidi yatatokea wizi, watu kufa njaa, umasikini uliokithiri na kama hayoKwa hiyo sheria inarusu wananchi hasa wanyonge wazibe njia za waendao kwa miguu, waweke biashara popote watakapo?
Walianza kama mzaha tu pale kariakoo ('soko la kimataifa' ) leo hii hapapitiki kuna meza zisizo hamishika yaani panakeraa sana.
Mimi naamini wanao haribu majiji yetu (hasa Dar) ni viongozi wenye dhamana
Kama serikali imeshindwa kurekebisha hilo tatizo la wanyonge kushindia mlo mmoja ama kukosa kabisa basi haina budi kuachia ngaziUkiona hivyo serikali yenyewe imeshindwa kutoa ajira sasa wananchi lazima watafute namna na wakijaribu kulazimisha ndio yale madhara ambayo ni mabaya zaidi yatatokea wizi, watu kufa njaa, umasikini uliokithiri na kama hayo
Wewe unakereka kupita njia lakini wenzako wanateseka kimaisha mtu ata mlo 1 kwa siku inabidi akazungushe zungushe hapo kariakoo akale na watoto., jambo hili kwa nchi masikini huwezi kuliepuka. Na shida kubwa kwamba 'Aliyeshiba hamjuwi mwenye njaa'
Nchi zilizoendelea huwezi kukuta hizo interference kwenye miji kama huko kwenu sababu tayari ambaye hana kiajira kwenye kampuni au government basi angalau anapata bonus mwisho wa mwezi kutoka Serikalini, kuna njia nyingi za kutafuta kipato
I hail the decision. They are a high environmental pollutant.Gari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es Salaam.
--- UPDATE MAY 11, 2021--
Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Jumanne Shauri amewataka wafanyabiashara waliojenga vibanda katikati ya Jiji la Dar es Salaam kuviondoa kabla ya Mei 18, 2021.
Wakati Shauri akieleza hayo, gari lenye spika za matangazo linapita katikati la mitaa ya Jiji hilo likitangaza kuhusu mchakato huo kwamba vibanda havitakiwi kuonekana kando ya barabara.
Akizungumza na Mwananchi Digitial leo Jumanne Mei 11, 2021 Shauri amesema hawajazuia wafanyabiashara kuendelea na shughuli zao, wanachotakiwa kufanya ni kutojenga vibanda na kuwataka wauze bidhaa zao kwenye meza ili wakimaliza iwe rahisi kuziondoa na kuacha maeneo wazi.
Amebainisha kuwa sheria ya mipango miji hairuhusu kujenga vibanda, kuwataka wafanyabiashara hao kutii agizo hilo.
“Mwisho Mei 18 kama ambavyo gari la matangazo linavyotangaza waviondoe vibanda vyao kwa sababu vingine vinajengwa hadi kwenye njia za watembea kwa miguu na barabarani na kuleta adha kwa watumiaji. Wanatakiwa watii sheria bila shuruti waviondoe wenyewe,” amesema Shauri.
MWANANCHI
Rahisi. Watengewe maeneo "special" na siyo hovyohovyo ilivyo kwa sasa.Hao wanaotolewa maeneo hayo wanatarajiwa kuhamishiwa wapi?. Mtihani mpya kwa wale waliochukua mikopo haswa kina mama wanaotegemea vikoba na pesa za aina hiyo.
Tatizo lipo kwetu wanunuzi. Wakitengewa eneo hatuendi kununua huko tunabaki kununua barabarani, ndio maana wanaacha maeneo waliyotengewa wanarudi barabarani. Imeshatokea machinga complex na sehemu nyingine nyingi tuRahisi. Watengewe maeneo "special" na siyo hovyohovyo ilivyo kwa sasa.
Tena waondoe vibanda na meza pia. Na wapangaji chini wapigwe marufuku. Wasifanye kazi nusunusuHakuna namna... waondolewe tu kwakweli