Valentines Special Thread 2017

Valentines Special Thread 2017

Aiseee hii ni mada kesi kabisa aki na pipiro tangu lini wakakataliana
Aliniandikia barua. Hiyo barua aliniletea Numbisa. Numbisa ndo alinambia nikubali kumwazima... Si mtu mzuri kabisa... Uzuri Bonny na Raimundo ndo waliniambia nisithubutu. Wanakuheshimu sana shemeji yao. Nami sikuiazima tena kwa heshima yao na kwa mapenzi yangu kwako.
 
uwiiii unamsingizia Numbisa

Kweli kabisa ananisingizia kwanza kabisa sikuwepo eneo la tukio ila alinitumia huu ujumbe ati ndio ngao yake
16230049_242557736154770_5994855333883805696_n.jpg

Swali mubashara eti nani bwege hapo?
Mkuu Numbisa njoo mwenyewe useme ukweli wako hapa najua utanisaidia.

Valentina ukiona vinaelea vimeundwa jamani. taratibu na barua zako , duuuuh
 
Yaan nikisinzia kidogo tu mnanichokoza(kumbe mna chaji ee nokia tochi au?)
hakiharibik kitu sie ni watu wema na hatupend mzee akupoteze jje's ila kama unamuamin Numbisa wakat yeye alikua anvizia ile power bank sijui kama utapata jibu sahih
 
Back
Top Bottom