jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,584
Asante kunifungua machoTena uwe macho ukeshe ukiomba maana hujui muda gani atasogeza mwingine mpyaaa
Asante kunifungua machoTena uwe macho ukeshe ukiomba maana hujui muda gani atasogeza mwingine mpyaaa
Ukweli upi sasa mbona mwanifumba?Ukiaambiwa ukwel unasema kashfa
Haaa kwan charger zenu zinafanana? Na uniambie umejuajeKama zilivyo charger zetu

Mnazijuaje hizo charger zenu kama zinafanana?Hata charger zetu zina mvuto.... tukuchajie simu yako??

Raimundo umeuaaaaUsawa huu wa Magu watu hawachelewi hata kuja kuziulizia chaja nyumbani, maana kupata chaja mpya ya kudumu ni kazi kweli.

Mbona unawasiwasi kama unaoga nje bibie? Wasiwasi huo veepe?Haaaa project ya kazi, nimeshaibiwa
Unanizuga eeehEh.... Yamekuwa hayo tena
Nimecheka kwa nguvu ValeMbona unawasiwasi kama unaoga nje bibie? Wasiwasi huo veepe?

Haaa kwan charger zenu zinafanana? Na uniambie umejuaje![]()
Hahahahahaaa et kobe. Na ck hiz hz kobe ndo mpango mzima maana wachajia mwenyeweWakatafute tu kobe wachaj wenyewe
Haaa kwan charger zenu zinafanana? Na uniambie umejuaje![]()
Hahahahahaaa et kobe. Na ck hiz hz kobe ndo mpango mzima maana wachajia mwenyewe
Hahahahahaaa et kobe. Na ck hiz hz kobe ndo mpango mzima maana wachajia mwenyewe
Itaje tu bhana![]()