Valentines Special Thread 2017

Valentines Special Thread 2017

Sasa si umuulize mwenyewe??? Anasema eti wewe ni shosti yake kwahiyo naweza kumwazima kwa muda wakati wewe haupo. Mi nlimkatalia. Kama huamini waulize Bonny na Raimundo ... usimuulize Numbisa maana yeye ni mpambe nuksi
uwiiiiii, nitalia na nani mie. Kwa hiyo Vale ndo kakudanganya mie shosti yake? mlikuwa wapi hadi muongee hayo maneno mingi mingi hivyo?

Numbisa njoo my dear nisaidie sitaki kina Raimundo na Bonny wanisaidie kabisa maana naona lao moja.

Please njoo haraka maana moyo umeshaanza kusahau kazi yake.
 
jje's mimi kwa kweli sina la kusema, maana babu Asprin alisema tukisema atawaambia watu wasije kuazima chaja kwetu.
hahahahahahhaha mkuuu umeua kabisaaa
Bora ujisemee ukweli ndugu yangu. Kwan na wewe huwa unaazimisha chaja yako?
 
hahahahahahhaha mkuuu umeua kabisaaa
Bora ujisemee ukweli ndugu yangu. Kwan na wewe huwa unaazimaga chaja?

Mi siazimishagi, ila babu Asprin alisema ikitokea watu wakaenda kuazimisha chaja wengi, wengine atawaelekeza waje kwetu eti, sasa naona kimya mpaka sasa, ukimuuliza anasema atawaambia bado hawajaenda eti.

Sasa mimi sijui, labda Bonny aseme.
 
uwiiiiii, nitalia na nani mie. Kwa hiyo Vale ndo kakudanganya mie shosti yake? mlikuwa wapi hadi muongee hayo maneno mingi mingi hivyo?

Numbisa njoo my dear nisaidie sitaki kina Raimundo na Bonny wanisaidie kabisa maana naona lao moja.

Please njoo haraka maana moyo umeshaanza kusahau kazi yake.
Aliniandikia barua. Hiyo barua aliniletea Numbisa. Numbisa ndo alinambia nikubali kumwazima... Si mtu mzuri kabisa... Uzuri Bonny na Raimundo ndo waliniambia nisithubutu. Wanakuheshimu sana shemeji yao. Nami sikuiazima tena kwa heshima yao na kwa mapenzi yangu kwako.
 
Mi siazimishagi, ila babu Asprin alisema ikitokea watu wakaenda kuazimisha chaja wengi, wengine atawaelekeza waje kwetu eti, sasa naona kimya mpaka sasa, ukimuuliza anasema atawaambia bado hawajaenda eti.

Sasa mimi sijui, labda Bonny aseme.
uwiiii kumbe huwa wanaenda wengi kuazima chaja kwake.
Asprin si nilikuambia ukinichoka uniambie tu mie nitakubaliana na mawazo yako?

kwa nini unanifanyia hivi lakini? please moyo wangu mie umesahau kazi yake cjui.
 
Aliniandikia barua. Hiyo barua aliniletea Numbisa. Numbisa ndo alinambia nikubali kumwazima... Si mtu mzuri kabisa... Uzuri Bonny na Raimundo ndo waliniambia nisithubutu. Wanakuheshimu sana shemeji yao. Nami sikuiazima tena kwa heshima yao na kwa mapenzi yangu kwako.
uwiiii unamsingizia Numbisa

Mkuu Numbisa njoo mwenyewe useme ukweli wako hapa najua utanisaidia.

Valentina ukiona vinaelea vimeundwa jamani. taratibu na barua zako , duuuuh
 
uwiiii kumbe huwa wanaenda wengi kuazima chaja kwake.
Asprin si nilikuambia ukinichoka uniambie tu mie nitakubaliana na mawazo yako?

kwa nini unanifanyia hivi lakini? please moyo wangu mie umesahau kazi yake cjui.

Noo, siyo wanaenda, alisema ikitokea wakaenda wengi ndo atawaelekeza wengine waje kuazima kwetu, ila mpaka sasa tukimuuliza anasema hawajaenda!

Kwa hiyo mimi najua bado hawajaenda, labda kama anatudanganya na sisi pia.
 
Valentine wangu atakuwa ni Siku yenyewe ya Valentine kwa sababu itanilazimu kuongeza mwaka mwingine katika maisha yangu!.
 
wakati umewaahidi kitu.

niambie tu ukweli bhana.

Raimundo njoo unisaidie hapa naona kama unafaa kwenye hili.

utakuwa witness namba moja upande wangu.

Kama nilivyosema hapo juu, kila tukimuuliza anasema bado hawajaenda wengi, kwa hiyo tusubiri subiri.
 
Noo, siyo wanaenda, alisema ikitokea wakaenda wengi ndo atawaelekeza wengine waje kuazima kwetu, ila mpaka sasa tukimuuliza anasema hawajaenda!

Kwa hiyo mimi najua bado hawajaenda, labda kama anatudanganya na sisi pia.
uwiii mbona naanza kutokuamini jaman

nisaidie bhana. walishaenda wangapi kwa mtazamo wako na inteligensia yako inavyosema.
 
uwiiii kumbe huwa wanaenda wengi kuazima chaja kwake.
Asprin si nilikuambia ukinichoka uniambie tu mie nitakubaliana na mawazo yako?

kwa nini unanifanyia hivi lakini? please moyo wangu mie umesahau kazi yake cjui.
Baby, hujamsoma vizuri mtumishi Raimundo .... hebu msome vizuri hapo chini.... msisitizo hapo kwa red...

Noo, siyo wanaenda, alisema ikitokea wakaenda wengi ndo atawaelekeza wengine waje kuazima kwetu, ila mpaka sasa tukimuuliza anasema hawajaenda!

Kwa hiyo mimi najua bado hawajaenda, labda kama anatudanganya na sisi pia.
 
Baby, hujamsoma vizuri mtumishi Raimundo .... hebu msome vizuri hapo chini.... msisitizo hapo kwa red...
niambie tu ukweli kuwa walishakuja na ukaazima ila hutaki kuniambia. Hata kina Raimundo wanasema labda unaweza kuwadanganya maana anakujua jua kidogo.
 
Baby, hujamsoma vizuri mtumishi Raimundo .... hebu msome vizuri hapo chini.... msisitizo hapo kwa red...
wanaume nimewapa tu salute maana mnavyojua kuteteana hamjambo. sasa hiyo barua nikirudi jioni unipe nijue Valentina alikuwa anataka hiyo chaja kwa muda au moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom