Valentines Special Thread 2017

Valentines Special Thread 2017

Hatuna uhusiano wala mpango wowote, labda itokee tu... Valentina alitaka nimuazime chaja yangu ya simu. Tatizo nikimwazima anachelewa sana kuirudisha, kwahiyo nimemnyima. Mashahidi zangu ni Bonny na Raimundo

Hii ndio kisa na mkasa... au unasemaje mama, nimwazime au umeridhika na utetezi wangu??
ha ha ha ha mzee mwenzangu huu mwez na kuazimisha charger huku kutaleta shida
 
Sasa si umuulize mwenyewe??? Anasema eti wewe ni shosti yake kwahiyo naweza kumwazima kwa muda wakati wewe haupo. Mi nlimkatalia. Kama huamini waulize Bonny na Raimundo ... usimuulize Numbisa maana yeye ni mpambe nuksi
hii kauli kipind anatamka kama kulikua na mwangwi mwangwi sikuisikia vizur na uzee huu labda Raimundo kijana aseme yeye
 
uwiiiiii, nitalia na nani mie. Kwa hiyo Vale ndo kakudanganya mie shosti yake? mlikuwa wapi hadi muongee hayo maneno mingi mingi hivyo?

Numbisa njoo my dear nisaidie sitaki kina Raimundo na Bonny wanisaidie kabisa maana naona lao moja.

Please njoo haraka maana moyo umeshaanza kusahau kazi yake.
hakiharibik kitu sie ni watu wema na hatupend mzee akupoteze jje's ila kama unamuamin Numbisa wakat yeye alikua anvizia ile power bank sijui kama utapata jibu sahih
 
Mi siazimishagi, ila babu Asprin alisema ikitokea watu wakaenda kuazimisha chaja wengi, wengine atawaelekeza waje kwetu eti, sasa naona kimya mpaka sasa, ukimuuliza anasema atawaambia bado hawajaenda eti.

Sasa mimi sijui, labda Bonny aseme.
ndugu yangu Raimundo mie na babu tuna rule namba 3 yeye anaijua sasa kama wote charger tunazo na yeye anataka kucharge kila sehem mmh napata shaka
 
49bc49542467180751bbe39f48cf915a.jpg
 
Back
Top Bottom