Chachasteven
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 1,941
- 2,048
- Thread starter
- #221
Inakuja ikifika utajua tu.Kwani ipo lini? Maana nipo bush huku
Inakuja ikifika utajua tu.Kwani ipo lini? Maana nipo bush huku
Tuzifiche chaja zetu... ishakuwa tabu sasaha ha ha ha mzee mwenzangu huu mwez na kuazimisha charger huku kutaleta shida
Waambieni wote wanaotaka kuazimishwa chaji waje kwangu kwa muda huu ambao zenu mmezificha asee.Tuzifiche chaja zetu... ishakuwa tabu sasa
Watakuwa wamekusoma...Waambieni wote wanaotaka kuazimishwa chaji waje kwangu kwa muda huu ambao zenu mmezificha asee.
thanks mshkaji wangu na kwako piaWashkaji Zangu eeh, STUNTER nawatakia Happy Valentines Day In Advance... joanah venossah ISIS miss_blossom espy LadyAJ rubii Shunie scorpio me ..... Wengine sijawasahau, nitawatag kadri nnavyowakumbuka, msimind kwa sana
Haya nambie nikukute wapi unipe hiyo zawadiTatizo zawadi yangu kila siku unaikataa... hivi una allergy na mimba???
Tuna mpango wa kupeana zawadi mubasharayaan hubby niambie tu ukweli wewe na Vale mna mpango gani? naomba maelezo kwa maandishi.

Mash Mash Gesht Haush...Haya nambie nikukute wapi unipe hiyo zawadi
Mmh hebu ngoja ntakurudia badae weweumejuaje namzuga kama sio umbea. mimi anaamin kila ninachomwambia na mimi vile vile namwaamin
Ole wake atakaebomoa moyo wanguDooh!.nadhani watu wameshazoea,maana cku izi hawawazi kabisa kua heart broken labda stunter na valentina ndo hawajazoea.
Tuzifiche chaja zetu... ishakuwa tabu sasa
zee la michepukooo!!!geniveros nakutakia valentine njema.